TAZARA "flyover" yetu imekamilika!

TAZARA "flyover" yetu imekamilika!

Wasivyompenda JPM watakuja na mapovu, subiri kidogo..
 
Hivi WaJapan si bado wapo pale site mpaka sasa!?
Mmoja ajitoe ufaham amtafute mJapan mmoja amuulize eti hiko kilichojengwa kinaitwaje..!? akishapewa jibu aje hapa atuambie
 
Nyumbu bhana, haya hicho ni kivuko cha waenda miguu.
Shangilia sasa
Usijali mkuu kawaida ya vijana hawana jema.
Tunaipongeza serikali kwa kufanya miradi mingi!! Ila punguzeni gharama za maisha!!
Watu wanateseka bei za vitu zinazidi kuwa juu.
Tafakari!!
 
haters watakufa kihoro mwaka huu kwa chuki!





I can't wait for Zitto, Fatma Karume, Lissu, Maria Sarungi waje kukosoa....yaani tuna wana harakati uchwara nchii hii sijapata kuona? Wote hawa wanangozwa na kiongozi wao Mange Kimambi mtu wanayemshinda kielimu ila wanamuamini kwa kila kitu.
 
hiyo ni overhead bridge na sio flyover!
Flyover gani unatembea 30 seconds imeisha?tembea nchi za watu ujionee tofauti kaka
Hamia huko mkuu!! Sisi tunaita flyover
 
Unaelewa maana ya neno la kiingereza ,,flyover" ?

Haya bishana pia na wikipedia

Flyover - Wikipedia

Acheni kufanya maisha yawe magumu kuliko uhalisia, neno lenyewe linajieleza labda kama hauelewi maana ya neno ,,flyover"
Hawaelewi kiingereza watafsirie mkuu. Alafu wanadhihirisha ujinga wao pasipo kujua
 
hiyo ni overhead bridge na sio flyover!
Flyover gani unatembea 30 seconds imeisha?tembea nchi za watu ujionee tofauti kaka

Kwa Kuwa Nchi za watu wanaume ruksa kuolewa ukikuta huku hawaolewi Pia utasema Mwanaume gani hapigwi Mashine ,tembea Nchi za watu ujionee tofauti
 
I can't wait for Zitto, Fatma Karume, Lissu, Maria Sarungi waje kukosoa....yaani tuna wana harakati uchwara nchii hii sijapata kuona? Wote hawa wanangozwa na kiongozi wao Mange Kimambi mtu wanayemshinda kielimu ila wanamuamini kwa kila kitu.
Njia rahisi hao ni kuwaita kwenye mdaharo wa WAZI kujadili hali ya kiuchumi na demokrasia ili "waumbuke". Unasemaje mpambanaji?
 
HICHO NI KIVUKO SIO flyover acha upotoshaji wa kibongo
Hapa nadhani lugha gongana, English na Swahili, nadhani flyover tuiite "kivuko cha juu" si unajua lugha yetu ilivyo na uhaba wa maneno!
 
I can't wait for Zitto, Fatma Karume, Lissu, Maria Sarungi waje kukosoa....yaani tuna wana harakati uchwara nchii hii sijapata kuona? Wote hawa wanangozwa na kiongozi wao Mange Kimambi mtu wanayemshinda kielimu ila wanamuamini kwa kila kitu.
Na wasipokosoa utasemaje?
 
Back
Top Bottom