TAZARA "flyover" yetu imekamilika!

TAZARA "flyover" yetu imekamilika!

hiyo ni overhead bridge na sio flyover!
Flyover gani unatembea 30 seconds imeisha?tembea nchi za watu ujionee tofauti kaka
Wapi? Burundi au Rwanda

Nchi zetu Africa za ajabu sana
 
Hapana, ndivyo tulivyoamua kuiita flyover, na hata Muzungu mwenyewe ataita hivyo kama tukimwambia hiyo inaitwa ni TAZARA flyover!
mbaya zaidi hata CCM tawi hawakujui!! Halafu unasema ndivyo tulivyoamua..... Know one knows you buddy....
 
Kukusahihisha siyo ,,Watanzania wakimchukia" mtu bali sema chadema wakimchukia mtu, kwa maana Watanzania wengi hatumchukii mtu yoyote, mambo ya chuki ni chadema!
TWAWEZA njooni hukuuu....
 
Ikiwa ni takriban miaka mitatu sasa tangu ujenzi wa TAZARA flyover / bridge uanze, hatimaye ujenzi unaonekana kuelekea ukingoni. Je, kwa wale walio ndani ya system katika huo ujenzi, mnaweza kutuambia ujenzi umefikia asilimia ngapi? Na ni nini kinachoendelea pale kwa sasa? Na ni lini hilo 'flyover'/ daraja la magari litazinduliwa? Nalisubiri kwa hamu ili nione ni kwa namna gani daraja hili litapunguza foleni iwapo magari yanayovuka hapo immediately yanaenda kukwama buguruni (uhuru junction) na Tabata road (Tabata junction).

 
Kuua watu, kudhibiti kila anamkosoa, kuteua na kutengua
Mkuu naamini una weledi mkubwa tu sio km wa mdogo wangu wa darasa la pili, so kupangia mtu majukum na kumtengua ni haki yake ya kikatiba, hata kwenye mpira kuna sub, hayo mengine ni tetesi tu mi siwez kujibu maana siko wizara wala chama cha siasa
 
Katika familia yangu, nikifanya kitu ambacho ki msingi nilitakiwa niwe nimejifanya miaka 20 iliyopita huwa nanyamaza KIMYA, akija mtu kunipongeza nasema "asante"
 
Flyover ni barabara inayopita juu ya barabara nyingine au juu ya reli ili kupunguza msongamano. Kwa kifupi tu. Bridge ni daraja
Kumbe, asante. Ila maelezo yako yale yoote kwa kidhungu sijakuelewa
 
Watanzania hata uwafanyie nini, mwisho wake watakuona hauna maana, haters wako kila maala, usishange hata wabaya wako ukiwa kwenye maji unaogelea watasema unawatiulia vumbi hao ndyo haters, magu kujenga ile kitu wamekuja wajuaji weng na kupinga kwa vijisababu uchwara wakati wenyewe hawawezi kubuni hyo kitu.

Wale waliojenga wanasema ni flyover, wewe unaanzaje kukataa?
 
Back
Top Bottom