Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,403
Kafanya aliyosema atafanya kwenye kampeni zakeKwani JIWE kafanya nini hapo ?
Kafanya aliyosema atafanya kwenye kampeni zakeKwani JIWE kafanya nini hapo ?
Roho za kwanini ndo zinazosumbua baadhi ya watu. Waswahili watu wa ajabu sana.Hiyo ni flyover tukubali tukatae, maana km ni kama vile tunakariri flyover mpaka iwe km zile za china au south africa, zile ni interchanges, ila ya tazara ni flyover tubishe tuu ila ni flyover, sasa tunabisha wakati ipo wazi
Unapoteza muda na hao wajuaji? Hawa wamko huku uswahilini kwetu kila ufanyacho wanatoa kasoro ili mradi tu atoe uhasi ndani yake.A flyover is known as an overpass that is built over an existing road or a railway in such a manner that it crosses another road or railway. It helps in saving time of the commuters whether they are pedestrians or running automobiles and have become very commonplace in big cities these days. However, there are some criticisms of flyovers as they lead to wastage of precious space in the form of huge pillars that go up on the existing road. But their benefits outweigh their shortcomings as they facilitate faster and more efficient transport of people and vehicles.
Maana yake kwa lugha rahisi
kwahiyo kama tuko bongo basi " ndio tunapata ruksa ya kubadilisha maana ya kitu au jambo ""... Yaani kila kitu kwenu mnaingiza siasa ...hiko ni kivuko full stopTuko Bongo, hivyo kwetu ni flyover, next hater ????
hahaha mfugale bridgeWacha mahaba uchwara Mkuu!
Hiyo Mfugale bridge ndo unaita fly over?
kwahiyo kama tuko bongo basi " ndio tunapata ruksa ya kubadilisha maana ya kitu au jambo ""... Yaani kila kitu kwenu mnaingiza siasa ...hiko ni kivuko full stop
kwahiyo Mwenye kumuita"" SIMBA kwa jina lingine tofauti na jina lake kwamfano amuite simba swala "" badala ya kumuita simba " atakuwa yupo sahihi ""..?Ndiyo, kila mtu ana haki ya kuita anavyotaka!
hiyo ni injectionover ...not flyover ..."" ujanja ujanja tu ""..Kwani flyover sio kivuko?!
Wewe unaonaje?Hivi ni daraja( bridge) au fly over?
Ujuaji mwingine unaishia kuwa kituko. Kwahio wewe kwako flyover lazima ziwe kama unazoona kwenye movie? Maanake naona watu wamekazania za majuu,kwani mmeambiwa huko majuu hakuna flyover kama hio ya tazara? Yaani majuu flyovet zooote ni ndefu km kadhaa na zimeingiliana sana.....kwahiyo kama tuko bongo basi " ndio tunapata ruksa ya kubadilisha maana ya kitu au jambo ""... Yaani kila kitu kwenu mnaingiza siasa ...hiko ni kivuko full stop
A flyover is known as an overpass that is built over an existing road or a railway in such a manner that it crosses another road or railway. It helps in saving time of the commuters whether they are pedestrians or running automobiles and have become very commonplace in big cities these days. However, there are some criticisms of flyovers as they lead to wastage of precious space in the form of huge pillars that go up on the existing road. But their benefits outweigh their shortcomings as they facilitate faster and more efficient transport of people and vehicles.
Maana yake kwa lugha rahisi
Hiyo sio "fly over", hiyo ni "flyover" mkuu.Hivi ni daraja( bridge) au fly over?
Fly over ni neno la kiingereza. Tafsiri kwanza hilo neno kwa kiswahili na mie nitakupa maana yake kwa kiswahili.kiswahili tafadhari
kasome lugha acha uchama wa lumumbaSasa hapo si umebadilisha lugha tu? Kweli vichaa wengi.
Jamaa, hata ndoo unaiita kikombe kikubwa chenye mshiko au vphiyo ni injectionover ...not flyover ..."" ujanja ujanja tu ""..
Fly over ni neno la kiingereza. Tafsiri kwanza hilo neno kwa kiswahili na mie nitakupa maana yake kwa kiswahili.
sijui flyover kwa tafsiri ya kiswahili, ndyo maana nimetaka unitafsirie hyo coment yako nijue nini umemaanisha.
kwahiyo kama tuko bongo basi " ndio tunapata ruksa ya kubadilisha maana ya kitu au jambo ""... Yaani kila kitu kwenu mnaingiza siasa ...hiko ni kivuko full stop