Hii ni Injection over siyo flyover wewehaters watakufa kihoro mwaka huu kwa chuki!
Magufuli ndio anawalazisha injection over muite flyover?Kwa nini tunalazimishana kuita unavyoaka wewe? Ita hivyo sisi kwetu ni TAZARA flyover!
This is indeed a flyover. The other complex one is called interchangeMagufuli ndio anawalazisha injection over muite flyover?
Ila tukiacha masiala,lile ni daraja mkuu .
Watanzania wakimchukia mtu hata afanye nini kizuri kitaonekana kibaya hakina maana hakifai, ila wanasahau benefit zake kwa taifa zima, tulilalamika foleni, msongamano wa magari pale tazara, haya kaja jiwe kaweka hiyo "flyover/overhead bridge/au chochote unachotaka kuuita" ili kupunguza msongamano bado watu tunabeza...ooh hilo nalo flyover nenda nchi za mbele uone flyover..., Sisi hatupo mbele tunajaribu kusolve matatizo yetu kwa mazingira yetu tukubali mazuri kuwa ni mazuri tuyatumie, hata km tunamchukia jiwe ila anafanya vitu vingine vya msingi, tusiwe mahaters kwasababu tu tunahate, ila ni changamoto tu hizi, mtanzania aliyejengewa vyoo vizuri vya uwanja wa taifa akaenda kuiba koki ilimradi tu anaweza sasa mtu km huyo na halaiki yake ndo anasababisha jamii ya wabezajiA flyover is known as an overpass that is built over an existing road or a railway in such a manner that it crosses another road or railway. It helps in saving time of the commuters whether they are pedestrians or running automobiles and have become very commonplace in big cities these days. However, there are some criticisms of flyovers as they lead to wastage of precious space in the form of huge pillars that go up on the existing road. But their benefits outweigh their shortcomings as they facilitate faster and more efficient transport of people and vehicles.
Maana yake kwa lugha rahisi
Watanzania wakimchukia mtu hata afanye nini kizuri kitaonekana kibaya hakina maana hakifai, ila wanasahau benefit zake kwa taifa zima, tulilalamika foleni, msongamano wa magari pale tazara, haya kaja jiwe kaweka hiyo "flyover/overhead bridge/au chochote unachotaka kuuita" ili kupunguza msongamano bado watu tunabeza...ooh hilo nalo flyover nenda nchi za mbele uone flyover..., Sisi hatupo mbele tunajaribu kusolve matatizo yetu kwa mazingira yetu tukubali mazuri kuwa ni mazuri tuyatumie, hata km tunamchukia jiwe ila anafanya vitu vingine vya msingi, tusiwe mahaters kwasababu tu tunahate, ila ni changamoto tu hizi, mtanzania aliyejengewa vyoo vizuri vya uwanja wa taifa akaenda kuiba koki ilimradi tu anaweza sasa mtu km huyo na halaiki yake ndo anasababisha jamii ya wabezaji
Tukubali manufaa, yanatusaidia wenyewe
Bado watu watabishia hata wikipedia, ilimradi tu tubishebisheUnaelewa maana ya neno la kiingereza ,,flyover" ?
Haya bishana pia na wikipedia
Flyover - Wikipedia
Acheni kufanya maisha yawe magumu kuliko uhalisia, neno lenyewe linajieleza labda kama hauelewi maana ya neno ,,flyover"





Iv nyie watu wa lumumba nani aliewaloga..kwa hyo wewe ulitaka tukubali hyo ni flyover?Kwa nini tunalazimishana kuita unavyoaka wewe? Ita hivyo sisi kwetu ni TAZARA flyover!
Jamaa hata akichimba visima tanzania nzima bado kuna wataalam na wanasayansi binafsi watatoa takwimu hapa kuwa visima ni uharibifu wa mazingira, tuache mambo yafanyike tu maana mazuri ni mazuri tuu yanaonekanaKukusahisha siyo ,,Watanzania wakimchukia" mtu bali sema chadema wakimchukia mtu, kwa maana Watanzania wengi hatumchukii mtu yoyote, mambo ya chuki ni chadema!
haters watakufa kihoro mwaka huu kwa chuki!
Kwani JIWE kafanya nini hapo ?Watanzania wakimchukia mtu hata afanye nini kizuri kitaonekana kibaya hakina maana hakifai, ila wanasahau benefit zake kwa taifa zima, tulilalamika foleni, msongamano wa magari pale tazara, haya kaja jiwe kaweka hiyo "flyover/overhead bridge/au chochote unachotaka kuuita" ili kupunguza msongamano bado watu tunabeza...ooh hilo nalo flyover nenda nchi za mbele uone flyover..., Sisi hatupo mbele tunajaribu kusolve matatizo yetu kwa mazingira yetu tukubali mazuri kuwa ni mazuri tuyatumie, hata km tunamchukia jiwe ila anafanya vitu vingine vya msingi, tusiwe mahaters kwasababu tu tunahate, ila ni changamoto tu hizi, mtanzania aliyejengewa vyoo vizuri vya uwanja wa taifa akaenda kuiba koki ilimradi tu anaweza sasa mtu km huyo na halaiki yake ndo anasababisha jamii ya wabezaji
Tukubali manufaa, yanatusaidia wenyewe
Sasa hapo si umebadilisha lugha tu? Kweli vichaa wengi.HICHO NI KIVUKO SIO flyover acha upotoshaji wa kibongo