TAZARA "flyover" yetu imekamilika!

TAZARA "flyover" yetu imekamilika!

A flyover is known as an overpass that is built over an existing road or a railway in such a manner that it crosses another road or railway. It helps in saving time of the commuters whether they are pedestrians or running automobiles and have become very commonplace in big cities these days. However, there are some criticisms of flyovers as they lead to wastage of precious space in the form of huge pillars that go up on the existing road. But their benefits outweigh their shortcomings as they facilitate faster and more efficient transport of people and vehicles.

Maana yake kwa lugha rahisi
Watanzania wakimchukia mtu hata afanye nini kizuri kitaonekana kibaya hakina maana hakifai, ila wanasahau benefit zake kwa taifa zima, tulilalamika foleni, msongamano wa magari pale tazara, haya kaja jiwe kaweka hiyo "flyover/overhead bridge/au chochote unachotaka kuuita" ili kupunguza msongamano bado watu tunabeza...ooh hilo nalo flyover nenda nchi za mbele uone flyover..., Sisi hatupo mbele tunajaribu kusolve matatizo yetu kwa mazingira yetu tukubali mazuri kuwa ni mazuri tuyatumie, hata km tunamchukia jiwe ila anafanya vitu vingine vya msingi, tusiwe mahaters kwasababu tu tunahate, ila ni changamoto tu hizi, mtanzania aliyejengewa vyoo vizuri vya uwanja wa taifa akaenda kuiba koki ilimradi tu anaweza sasa mtu km huyo na halaiki yake ndo anasababisha jamii ya wabezaji
Tukubali manufaa, yanatusaidia wenyewe
 
Watanzania wakimchukia mtu hata afanye nini kizuri kitaonekana kibaya hakina maana hakifai, ila wanasahau benefit zake kwa taifa zima, tulilalamika foleni, msongamano wa magari pale tazara, haya kaja jiwe kaweka hiyo "flyover/overhead bridge/au chochote unachotaka kuuita" ili kupunguza msongamano bado watu tunabeza...ooh hilo nalo flyover nenda nchi za mbele uone flyover..., Sisi hatupo mbele tunajaribu kusolve matatizo yetu kwa mazingira yetu tukubali mazuri kuwa ni mazuri tuyatumie, hata km tunamchukia jiwe ila anafanya vitu vingine vya msingi, tusiwe mahaters kwasababu tu tunahate, ila ni changamoto tu hizi, mtanzania aliyejengewa vyoo vizuri vya uwanja wa taifa akaenda kuiba koki ilimradi tu anaweza sasa mtu km huyo na halaiki yake ndo anasababisha jamii ya wabezaji
Tukubali manufaa, yanatusaidia wenyewe


Kukusahihisha siyo ,,Watanzania wakimchukia" mtu bali sema chadema wakimchukia mtu, kwa maana Watanzania wengi hatumchukii mtu yoyote, mambo ya chuki ni chadema!
 
Kukusahisha siyo ,,Watanzania wakimchukia" mtu bali sema chadema wakimchukia mtu, kwa maana Watanzania wengi hatumchukii mtu yoyote, mambo ya chuki ni chadema!
Jamaa hata akichimba visima tanzania nzima bado kuna wataalam na wanasayansi binafsi watatoa takwimu hapa kuwa visima ni uharibifu wa mazingira, tuache mambo yafanyike tu maana mazuri ni mazuri tuu yanaonekana
 
Barbarosa at his best.

Unaleta mada halafu unakuwa umejiandaa kuitetea mpaka kieleweke.

Wakuu wengine mkubali tu hiyo ndio TAZARA Flyover.

😀😀😀
 
haters watakufa kihoro mwaka huu kwa chuki!



Tunawashukuru walipa kodi wa Japan kwa kugharamia kwa 90% huo ujenzi wa Kivuko, kinasaidia watawala wetu wasipate shida ya foleni wakiwa wanatokea kupata ushauri wa kuongoza nchi kutoka Rwanda, Burundi na Uganda.
 
Watanzania wakimchukia mtu hata afanye nini kizuri kitaonekana kibaya hakina maana hakifai, ila wanasahau benefit zake kwa taifa zima, tulilalamika foleni, msongamano wa magari pale tazara, haya kaja jiwe kaweka hiyo "flyover/overhead bridge/au chochote unachotaka kuuita" ili kupunguza msongamano bado watu tunabeza...ooh hilo nalo flyover nenda nchi za mbele uone flyover..., Sisi hatupo mbele tunajaribu kusolve matatizo yetu kwa mazingira yetu tukubali mazuri kuwa ni mazuri tuyatumie, hata km tunamchukia jiwe ila anafanya vitu vingine vya msingi, tusiwe mahaters kwasababu tu tunahate, ila ni changamoto tu hizi, mtanzania aliyejengewa vyoo vizuri vya uwanja wa taifa akaenda kuiba koki ilimradi tu anaweza sasa mtu km huyo na halaiki yake ndo anasababisha jamii ya wabezaji
Tukubali manufaa, yanatusaidia wenyewe
Kwani JIWE kafanya nini hapo ?
 
Hiyo ni flyover tukubali tukatae, maana km ni kama vile tunakariri flyover mpaka iwe km zile za china au south africa, zile ni interchanges, ila ya tazara ni flyover tubishe tuu ila ni flyover, sasa tunabisha wakati ipo wazi
 
Back
Top Bottom