Tazama tofauti kati yao na sisi

Tazama tofauti kati yao na sisi

kadoda11

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
21,453
Reaction score
20,755
Wakati watanzania tupo busy kulumbana kwa siasa za CCM vs CHADEMA,wakati wakenya wapo busy kubaguana kikabila kwa siasa za jubelee vs cord nk.wenzetu wapo mbali sana na kadhia za dunia hii.

Mda mchache uliopita nilikuwa ktk mtandao wa twitter, ghafla nikakumbana na tweets toka kwenye handle ya mwanadada mwanaanga Samantha Cristoforetti ambaye tangu November 23, 2014,alitoweka duniani!! (ndio alitoweka dunia).

Aliondoka duniani kuelekea anga za mbali ktk
satellite inayofahamika kama ISS (International Space Station).

Yeye na timu ya wanaanga wanaume wawili,tangu november mwaka jana wapo huko angani wakiizunguka dunia huku wakifanya tafiti na majiribio mbalibali ya kisayansi ktk field za biology, human biology, physics, astronomy, meteorology nk.

Lengo hasa la thread hii ni kukuwekea baadhi ya tweets zake binafsi anazo tweet kila mara toka anga za mbali ili iwe kama hamasa kwa wadogo zetu wanaosoma masomo ya sayansi ktk vyuo yetu hapa EA.

Lakini pia wajikite kwenye masomo na waachane na siasa za uchadema na uccm ili mwisho wa siku waje kuwa wanaanga mashuhuri kama Samantha Cristoforetti.

space1.jpg


space2.jpg


space3.jpg


space4.jpg


space5.jpg


space6.jpg


space7.jpg


space8.jpg

CC MK254 hbuyosh Apologise lady Kongosho miss chagga Bulldog Monstgala et al
 
Last edited by a moderator:
Huku afrika wengi wetu ni Job searchers badala ya kuwa job Creator

lakini pia nahisi hata hisi siasa zetu zinatuharibu.
kama mwanafunzi wa chuo anayechukua masomo ya sayansi,role mode wake ni mwanasiasa wa chama tawala kama lusinde.unategemea nini hapo?.
 
Aliyejuu kata mti kama chama chetu

acheni siasa jamani,haya mambo ya aliye juu sijui mpandie huko huko,sijui kata mti....ni mitizamo ya kizamani na imechangia sana kudunisha akili za vijana wa ktz.nia,juhudi,bidii na maarifa ndio kila kitu.
 
Huyu si ni mwanamke wa kwanza kutoka Italy kwenda anga za juu
 
Huyu si ni mwanamke wa kwanza kutoka Italy kwenda anga za juu

haina shaka,mimevutiwa tu na tweet zake.imagine ana tweet "just outside cairo" wakati yeye mwenyewe yupo anga za mbali,au "goodnight from space".yaani ni kama anaichungulia dunia kwa chini.:biggrin:
 
inahitajika uongozi safi ili kufikia malengo kama hayo
kwa usilinganishe kwenye michezo je tumewazidi ?
kwenye burudani je ?
Maisha bora yenye makazi mazuri na mahitaji ?

hayo yote inahitajika uongozi mzuri ila kufanikisha wacha kwanza tuwaondoe ccm ndipo tupange kufika mwezini
 
Lijitu liprofesor lakini halina tofauti na std vii
 
yani huko juu kuna network nzuri hivyo wakati nyumbani kwangu inakatakata.... hawa tigo wazushi sana
 
Back
Top Bottom