Africa mradi kuna kucha ,giza linaingia haina shida,somalia miaka 20 na zaidi wanapigana ujawahi sikia imevumbuliwa hata bunduki ya kisomali angalau wanalala nazo na kuamka nazo kuliko mahala kwingineko afrika.mliman pale inatoa wahandisi lakini upepo mkali ukija wanafunzi wanashuka katika yale majengo na kukaa chini hawana namna wa kuyajenga yale majengo yanaotishia usalama wao.Tupo tupo usipobeba bango kwenye chumba cha upasuaji ukaingia nalo .linaonyesha ufanyiwe oparesheni gani unaweza katwa shingo baada ya mguu,embu tuache ku ji compare na hao watu tuendeleni tu na siasa zetu za maji taka.
yani huko juu kuna network nzuri hivyo wakati nyumbani kwangu inakatakata.... hawa tigo wazushi sana
Mbona Profesa Kikwete ni mwanasiasa na pia mwanasayansi wa anga.
Mbona Profesa Kikwete ni mwanasiasa na pia mwanasayansi wa anga.
lakini pia nahisi hata hisi siasa zetu zinatuharibu.
kama mwanafunzi wa chuo anayechukua masomo ya sayansi,role mode wake ni mwanasiasa wa chama tawala kama lusinde.unategemea nini hapo?.
Mbona Profesa Kikwete ni mwanasiasa na pia mwanasayansi wa anga.
kwel kabxa mkuu we ndo umenena ukwelHayo mambo huko kwenyew yanafanywa kisiasa na kibur cha uchumi na wanao Fanya hayo ni superpowers country kama USA na RUSSIA na CHINA, na ukiangalia behind the scene kuna political agenda znazo support hko ktu na cdhan kwamba Tz hata mngeibuka ghafla kwamba mtaruhusiwa mataifa mengi yanataman kufanya ivo Ila kuna vikwazo toka superpowers countries..... Tz wala msisingizie siasa washaurini wanasiasa wenu hasa CCM iliyoko madarakan itambue kuwa elimu tunayopewa wanafunzi uko madarasani sio practical oriented so hata mfanyeje bila kutegua huo mtego tutaishia kutaman mambo ya wenzetu
Huyo hana jipya tena akafie mbali, yaani kwenye mapicha hayo yote hajaona chochote cha kuonyesha kuhusu Kenya, amepiga Uganda na kupita Kenya bila picha. Yaani angepiga angalau moja ndio JF haingekalika kwa mijisifa, ningewapumulia watani.
Haya swahiba kadoda11 nimekusoma mwanzo mwisho, inauma tena sana aisei, Afrika aliyeturoga hakuwa na huruma. Hatuna lolote jipya, malumbano tu ndio zetu. kila akiibuka mtafiti tunampiga chini.
Hayo mambo huko kwenyew yanafanywa kisiasa na kibur cha uchumi na wanao Fanya hayo ni superpowers country kama USA na RUSSIA na CHINA, na ukiangalia behind the scene kuna political agenda znazo support hko ktu na cdhan kwamba Tz hata mngeibuka ghafla kwamba mtaruhusiwa mataifa mengi yanataman kufanya ivo Ila kuna vikwazo toka superpowers countries..... Tz wala msisingizie siasa washaurini wanasiasa wenu hasa CCM iliyoko madarakan itambue kuwa elimu tunayopewa wanafunzi uko madarasani sio practical oriented so hata mfanyeje bila kutegua huo mtego tutaishia kutaman mambo ya wenzetu
lakini pia nahisi hata hisi siasa zetu zinatuharibu.
kama mwanafunzi wa chuo anayechukua masomo ya sayansi,role mode wake ni mwanasiasa wa chama tawala kama lusinde.unategemea nini hapo?.