Tazama ramani mpya ya Africa..

Tazama ramani mpya ya Africa..

Hapana mkuu... Ila aina hiyo ya umbo ndio mawazo ya walio wengi... Twawaza k, 90% ya muda..

achana na hiyo picha wala k kama usemavyo, ila angali maoumbo ya waafrica na wamabara mengine, utagundua kitu....
 
nchi gani ipo eneo la kupumulia ambako wakati wote harufu mbaya inanukia hapo? naona kama itakuwa ghana na nigeria na kushuka magharibi ya afrika hadi angola. ila tz tupo upande wa mbele kula anakofunga viatu.harufu hadi ije itukute hadi uzunguke.

Looh!! bahati Tanzania hatukuwekwa huko "mkun.....!!

tanzania ipo kwenye mkono wizi unapoanzia na kuwekwa kwenye viatu bondeni zilipofunguliwa akaunti za wakubwa
 
Kiwa cha afrika kipo somalia na ndio maana tunapenda kupigana vita hovyo
 
yaani inamaanisha akili za waafrica ziko kwenye Makalio sio?
 
Aaah, kutokana na ramani hii nzuri leo ndo nimeelewa kwa nini somalia inaitwa pembe ya Afrika. Tazama vizur utaelewa ninachomaanisha
 
Back
Top Bottom