Tazama Libya Ya Gadaffi Vs Demokrasia Ya Marekani

Tazama Libya Ya Gadaffi Vs Demokrasia Ya Marekani

Kuita watu mbwa-na wala hauoni hatia,..kweli wewe mwanamke ni mwanahizaya uliyevaa ngozi ya ubinadamu.

Si ndivyo anavyojiita, soma ID yake.

Mimi kuniita "mwanahizaya" unanioea bure, ulitaka nisimuite kwa jinsi anavyojiita mwenyewe? Fikiri.

Hebu muite wewe kwa ID yake kama ilivyo na wewe utakuwa ni nani kama mimi ni "mwanahizaya"?

Hapo sasa!
 
Mara nyingi nimeskia tukipewa lawama kuwa watu weusi ni wajinga,but nadhani hakuna race yenye watu wajinga kma waarabu,fatilia mambo yao utjua namaanisha nini.!!

Kumbe unasikia hizo lawama tu ? - maneno yako yana wasapoti watoa lawama hizo. Sema race yako imechangia kipi hapa duniani kuzidi waarabu. Tafiti Zaidi mchango wa waarabu kwenye sayansi,hesabu, matibabu, ujenzi, nk, bila waarabu usingekua na lugha - waarabu ndio walileta kalamu na karatasi hapa na watu wakaanza kusoma na kuandika.
Yanyotokea huko Libya yako nchi hata za ulaya - huko urusi na ukrania, nk vita vipo nchi zote na mabara yote - soma historia vyema acha kubwata
 
waarabu wanafaa wawe race ya mwsho..watu wamekalia kuuza maduka tu na bora blacks tunalima sans
 
Nnapoifikia democracy ya magharibi roho inauma sana ila ipo cku ubabe Wa amerika itagota tu, I hate pro-american cannibal policy
 
Back
Top Bottom