makua
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 208
- 39
Habar wana jf..
Nimehitimu records management (mtunza kumbukumbu) ngazi ya cheti mwaka 2011 chuo cha Utumishi wa Umma na nina uzoefu wa miezi 11 kufanya kazi za masjala,
kwa sasa nipo tu mtaani nahaha kama hiv kutafuta ajira/kibarua chochote au nafasi ya ku-voluntee kwenye ofisi yeyote
Naish Dar es salaam
Ahsante
Nawasilisha.
Nimehitimu records management (mtunza kumbukumbu) ngazi ya cheti mwaka 2011 chuo cha Utumishi wa Umma na nina uzoefu wa miezi 11 kufanya kazi za masjala,
kwa sasa nipo tu mtaani nahaha kama hiv kutafuta ajira/kibarua chochote au nafasi ya ku-voluntee kwenye ofisi yeyote
Naish Dar es salaam
Ahsante
Nawasilisha.