Kazi yangu ya sasa nimepata kupitia Tayoa, kazi kabla ya hii nilipata kupitia Zoom. Tatizo watu wakiona kazi za kwenye mtandao hawaamini kama wanaweza kupata. ila ukituma soft copy tuma na kwa njia ya posta kwani wengi wanashindwa ku-manage inbox zao na chance ya kupoteza email application yako ni kubwa. Asanten TAYOA na ZOOM Tanzania