Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 4,242
- 9,286
Wadau tumsifu Yesu Kristo. Mhashamu Prosper Balthazar Lyimo, Askofu wa Jimbo Katoliki la Bariadi, akiwa pamoja na kaka zake ambao pia ni mapadre.
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa upendo wake usio na kipimo na kwa baraka alizozimwagia kupitia huduma hii ya kiroho.
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa upendo wake usio na kipimo na kwa baraka alizozimwagia kupitia huduma hii ya kiroho.