Mhashamu Prosper Balthazar Lyimo, Askofu wa Jimbo Katoliki la Bariadi, akiwa pamoja na kaka zake ambao pia ni mapadre

Mhashamu Prosper Balthazar Lyimo, Askofu wa Jimbo Katoliki la Bariadi, akiwa pamoja na kaka zake ambao pia ni mapadre

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
4,242
Reaction score
9,286
Wadau tumsifu Yesu Kristo. Mhashamu Prosper Balthazar Lyimo, Askofu wa Jimbo Katoliki la Bariadi, akiwa pamoja na kaka zake ambao pia ni mapadre.

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa upendo wake usio na kipimo na kwa baraka alizozimwagia kupitia huduma hii ya kiroho.
Screenshot_2026_0329_141616.jpg
 
Sababu kwa kutumikia hizo nafasi kuna nadhiri ya useja( celibasy) , na kujitoa kumtumikia Mungu moja kwa moja

Ni utaratibu wa kiimani uliownzishwa na kanisa catholic kufuata utume wa Yesu kristu kulitumikia kanisa bila kuwa na reationship au kuoa. Alijitoa 100%
Lakini Yesu alisubushwa akiwa bado kijana mdogo miaka 33 tu,
Halafu mbona Mtume Petro ambaye ndiye inasemwa kanisa limejengwa juu yake na yeye ndiye papa wa kwanza alioa ??
 
Lakini Yesu alisubushwa akiwa bado kijana mdogo miaka 33 tu,
Halafu mbona Mtume Petro ambaye ndiye inasemwa kanisa limejengwa juu yake na yeye ndiye papa wa kwanza alioa ??
Unauliza maswali ya kipumbavu! Wewe kama siyo mkatoliki yanakuhusu nini? Lakini kama unawashwawashwa kujua tafuta maelezo ya Mtaguso wa Kwanza na wa Pili wa Lateran (1129 na 1139). Utaona kwa nini Mapadre hawaruhusiwi kuoa! Na hii imesaidia ndiyo maana huwezi kusikia Katoliki wanagombana shauri ya mali za Kanisa!
 
Kuoa tu, hasa ukizingatia mapadre na maaskofu wengi tu wanajulikana kutembea na wanawake na wengine hadi wana watoto kwa siri mitaani.
Huo ni udhaifu wa binadamu husika. Hata huko kwenye imani nyingine ambazo viongozi wanaoa napo wapo wenye wanawake nje ya ndoa zao na hata watoto wa nje
 
😁😀
Huo ni udhaifu wa binadamu husika. Hata huko kwenye imani nyingine ambazo viongozi wanaoa napo wapo wenye wanawake nje ya ndoa zao na hata watoto wa nje
📻😂😃😅
 
Back
Top Bottom