Adharusi naona tumekuwa na mitazamo inayokinzana kwenye hili ila mgambo ni majority na kwenye majeshi rasmi hayatambuliki kwenye rank yoyote lakini hapa tunachoji ni mtu mmoja mwenye dhamana ya cheo cha kisiasa kuvaa nguo za majeshiUkawa kwa NONGWAAAA... chadema wanavaa za mgambo hakuna aneyehoji
Hii nahisi it was a mission to kill maana nasikia hawajachukua hata sh 100 bank.
UKUTASasa yale mazoezi wanayoshinda wanafanya barabarani ni ya nn?
Sasa wewe unaambiwa na Mkuu Karne "Weka kifungu cha sheria kinachomkataza waziri kupost kwenye address yake habari?"huu mchezo hautaki hasira...halafu si vema kuwadhalilisha wanawake! Kasome tena kanuni za uongozi bora na dhana nzima ya kuwajibika
Nijibu swali hili post yake kwenye akaunti yake mtandaoni imesaidiaje wahanga na kwenye harakati za kuwakamata majambazi...usijibu kwa haraka tafakari kwanza
Umejuaje kabla ya kutupia ile habari hakua amefanya chochote? Acha hizo assumption zako wewe,wewe ulitaka asubiri hao watuhumiwa wakamatwe kwanza ndio atupie habari? Acha wivu wakike wewe!Nikwambie kitu ile haikuwa karamu wala sherehe ya washkaji harusi nk ambapo mtu katikati ya sherehe anaweza kutupia na hata kupiga selfie
Pale yameteketea maisha ya askari wetu vijana wetu tuliotumia kodi zetu kuwatrain...kumbuka ni ishu ya ujambazi very sensitive one!
Ni haki yake kutupia lakini ni sahihi kwa wakati ule!!!
Hivi kipaumbele ilikuwa ni kutupia ama kuangalia nini cha kufanya baada ya tukio kama lile?
hii ndio kazi sahihi ya waziri wa mambo ya ndani ya nchi. sasa wewe ulitaka afanye nini???
Mkuu hii "in and out ya tukio zima" inaweza ikahitaji maelezo punde wenye dhamana wakiiona.Naishi mbagala. Karibu na eneo la tukio nimepata info zote. Na kuna wanaonihusu ktk walojeruhiwa. In short I know in and out ya tukio zima. Sasa swali langu lijibu kulikuwa na umuhimu gani mwigulu kuvaa vile
Lengo lilikuwa ni silaha
kama bongo muvi.....Iliyokosa viwango
unauliza kichaa kwanini anaokota kopo?Kisheria anaruhusiwa kuvaa hizi nguo au anaiga za comedy?
View attachment 386735View attachment 386736View attachment 386737
Yalikuwa maalum kwa kuuangusha ukuta.Ukuta nao ukawapiga chengasindo hapo??