TIN ni bure, na unaipata TRA popote. Unachotakiwa kuwa nacho ni copy ya kitambulisho chochote, mfano Passpot/ kitambulisho cha mpiga kura /leseni ya uderevana vingine, japo watakuuliza kuwa unaitaka kwa ajili ya nini?. Na kama hapo ulipoenda ofisi za TRA hakuna foleni haizidi nusu saa unakuwa umepata.
its free,however i know Tanzania! Get it here,move out from queue bofya and register for your TIN online Online TIN Application ,go with your passport, or any officially recognised ID. Thanks