Mimi naona kuwaita matapeli si sahihi na ndio maana wakasema bahati na sibu ukikosa wewe jua umemchangia mwenzako na wewe subili siku yako ipo halafu siyo lazima kucheza.unaweza kudumbukiza mia tano kwenye kibubu ndani mwaka unafungua unakua mshindi bila presha.
