TatuMzuka ni matapeli? Karibuni Tujadili.

TatuMzuka ni matapeli? Karibuni Tujadili.

Mimi naona kuwaita matapeli si sahihi na ndio maana wakasema bahati na sibu ukikosa wewe jua umemchangia mwenzako na wewe subili siku yako ipo halafu siyo lazima kucheza.unaweza kudumbukiza mia tano kwenye kibubu ndani mwaka unafungua unakua mshindi bila presha.
 
"Bahati Nasibu" Matokeo yake ni mawili tu.Kwanza kupata, Pili ni kukosa..kama umekosa usilalamike Hujaibiwa, ndio maana mimi napigana vikumbo na muhindi,nashuhudia timu gani imenikosesha ushindi.
ukishajua kubet football huwezi kufanya upuuzi wa kucheza tatu mzuka au biko ambapo mtu anakuamulia ushindi
 
Uzuri wa kubet wewe na Muindi hamjui nini kitafuata,sio 3 mzuka na biko wanaokupangia ushindi.Jana nimemuliza muindi akiwa anaona
 
Hao matapeli nilichez kama mara 4 .
Mara tatu namb zikawa na watu wawili n mara ya nne namba ya mwisho ndio ilikua siyo
 
Kuna mtu nmemuona kwny huu uzi lkn nina uhakika hajawahi kucheza hii kitu ila analalamika huyo
 
nilizani uu mchezo ni special kwa watoto na ma abnormal kumbe ata mijitu na ndevu zao ina cheza
 
Back
Top Bottom