Tatua tatizo la uume mdogo

Tatua tatizo la uume mdogo

kwani wanawake wanataka upana au urefu?
Ukitumia haltiti ya ustadh utapata urefu bila mapana na mafuta ya tembo utapata upana bila urefu
Chaguo ni lako kulingana na unapoingia je wahitaji urefu au upana?
Chaguo ni lako
 
hao viumbe hawaridhiki hata kidogo sijui wameumbwa kwa roho gani
Mbona kwangu wanaridhika kuna mbinu zake
Sio mpira ukianza tu wafunga goli hapana
Inataka upige chenga sana yeye afunge hata mbili wewe unaendelea na chenga tu
Hujasikia wapemba wakisema kufungwa tunfungwa lakini chenga tunwala
Mkuu chenga ni muhimu katika mechi kuliko magoli
Tafakari chukua hatua
 
uume mdogo siyo kikwazo, waweza kuwa na uume mdogo lkn shughulli yake ni kubwa sana,nawasii mfanyye mazoezi pamoja na kula vyakula stahili, lkn kwa ayo apo juu ni mbwembwe tu.
 
uume mdogo siyo kikwazo, waweza kuwa na uume mdogo lkn shughulli yake ni kubwa sana,nawasii mfanyye mazoezi pamoja na kula vyakula stahili, lkn kwa ayo apo juu ni mbwembwe tu.
Mkuu ukikutana na kisima kirefu na kipana na wewe una uume mdogo na mfupi mwembamba hata iweje shughuli haitanoga utaambulia kuchezea watu tu
Ili game iwe ya kutisha yahitaji uwiano wa kinu na mchi halafu ufundi ndio unafuata
 
Mkuu ukikutana na kisima kirefu na kipana na wewe una uume mdogo na mfupi mwembamba hata iweje shughuli haitanoga utaambulia kuchezea watu tu
Ili game iwe ya kutisha yahitaji uwiano wa kinu na mchi halafu ufundi ndio unafuata
Mkuu hapo wala hakuna cha kusema mtwangio uwe wa haja nako ni kujiongopea we siku jaribu kuweka hata mguu utaenda ndo hapo utakapoona we c kitu hilo handaki halilidhiki tu
 
Tiba kutoka kongo hiyo ukipaka mkuu dk 45 ndio wazungu wanatoka mara ya kwanza...... Achana na mambo ya kuongeza size
Mpime kwanza afya za mioyo yenu wapendwa kabla hamjafakamia haya madawa hasa kwa wale ambao wako 35+, wanene na/au hawafanyi mazoezi. Kumbukeni kuwa process nzima ya kusimamisha uume na kuendelea kufanya tendo la ndoa inategemea damu NYINGI inayosukumwa na moyo na kuutumikisha moyo kwa dakika 45 ukiwa unatafuta bao wakati siyo kawaida yako na huna mazoezi moyo unaweza kushindwa kuhimili na ukazimika hasa kama una katatizo ambako hukajui. Halafu kesho mtu unajikuta uko front page kwenye magazeti ya Shigongo "Njemba Afia Guest. Changudoa Aliyekuwa Naye Asepa".
 
Hiyo Haltiti imeadimika sana mtaani. Ustaadhi kaitafutia soko. Halaf kaenda Oman kuchukua mzigo. Inasemekena hiyo biashara ilikuwa haitoki kabisa. Ilibidi akae afanye ubunifu mara ya mwisho nmeenda dukan mwenye duka alinambia toka katikat ya Mwez SEPTEMBER VIJANA WAMEKUWA WAKIMIMINIKA kununua haltiti mpaka akapandisha toka 2500 mpka 10000 na mzigo ukaisha. Sasa kuna mtu kaenda kuufata oman maana kuna watu wameweka order
 
Mkuu ukikutana na kisima kirefu na kipana na wewe una uume mdogo na mfupi mwembamba hata iweje shughuli haitanoga utaambulia kuchezea watu tu
Ili game iwe ya kutisha yahitaji uwiano wa kinu na mchi halafu ufundi ndio unafuata
kaka mapenzi ni ufundi, kumridhisha mwanamke siyo mpaka uzamishe yote ndani, waweza chezea apo kwa juu yake tu mpaka mwisho ukajikuta ushamfanya uyo mwenzio akawa hoi bin tahaabani, kumbuka kufikishana baina yenu wawili kunategemeana na staili zenu na mikao ambayo italeta hisia kubwa hasa pale unapopagusa kisawasawa kwenye kiini cha utamu, badilisha mtazamo kuwa mbunifu a.k.a mtundu
 
Back
Top Bottom