Tatua tatizo la uume mdogo

Tatua tatizo la uume mdogo

Wadau mada hii ilianzavsept 14 hadibleo ni zaidi ya mwezi
Mbona hatupati mrejesho
Kunanini wadau?
Au zimerefuka sana kila mtu siri yake
Tujuzeni tafadhali
 
Siku ya 20 leo natumia dawa hii lakini sijaona hata dalili ya mabadiliko!
Ww c ndio ulisema ulianza kuona unadisa kila muda mbona unaanza kutukata stimu ya kuanza tiba mkuu#tag#hartiti at work#tag
 
Shukran mkuu ila matatizo hutofautiana kiongozi yategemea na mtu imemuathiri vipi hiyo hali.

Na dawa haipo moja kwa hiyo ngoja tupate majibu toka kwa wagonjwa walioanza tiba ili tuone matokeo yamekuwaje baina ya watu waliotumia tuweze kumshkuru MUNGU kwa sababu yeye ndiye anayemfungua mtu kwa kumpa ujuzi na ufaham wa tiba juu ya magonjwa tofauti tofauti mkuu.

Shukran Sana. Karibu.
Kumbe dawa ziko aina zaidi ya moja mkuu?
 
Jamani tunaelekea 40 mbona kimya mrejesho #hashtag#hartiti at work#hashtag
 
Back
Top Bottom