Tatu Bila za Tundu Lissu. Terms and condition

Tatu Bila za Tundu Lissu. Terms and condition

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,856
Reaction score
44,187
Sote tunakumbuka Juzi juzi baada ya tundu Lisu kumaliza mazungumzo na Rais akiwa Ubelgiji Tundu Kama kawaida yake akili mingi mingi alimuwahi Mama na kuweka hadharani mada walizozungumzia. Kwa Mujibu wa Makamu mwenyekiti alidai kuwa Mh Rais alikubali kuwa atayashughulikia yale yote yanayoikwaza Tanzania.

Tunaona jambo moja baada ya jingine yakitekelezwa. Tunashukuru.

Maridhiano Maridhiano Maridhiano

Lissu alisema hatuwezi kufanya maridhiano wakati Mwenyekiti wetu yuko jela.

Hatuwezi kufanya maridhiano wakati wanachama wetu sehemu mbali mbali za nch wamefungwa jela kwa mashtaka ya kubambikiza.

Hatuwezi kufanya maridhiano wakati baadhi ya wanachama na viongozi wako nje ya nchi wakihofia usalama wao.

Hatuwezi kufanya maridhiano ikiwa at least minimum environment haijawekwa sawa.

Hayo maridhiano au utopolo?

Zitto yuko very desparate na maridhiano kwa maslahi yake binafsi.

Tundu Lissu na Mbowe hawajawahi kushindwa linapofika swala la kutetea haki.

Msalimie Dr Wilbroad Slaa. Mwambieni Chadena bado inasonga.
 
Sote tunakumbuka Juzi juzi baada ya tundu Lisu kumaliza mazungumzo na Rais akiwa Ubelgiji Tundu Kama kawaida yake akili mingi mingi alimuwahi Mama na kuweka hadharani mada walizozungumzia. Kwa Mujibu wa Makamu mwenyekiti alidai kuwa Mh Rais alikubali kuwa atayashughulikia yale yote yanayoikwaza Tanzania.

Tunaona jambo moja baada ya jingine yakitekelezwa. Tunashukuru.

Maridhiano Maridhiano Maridhiano

Lissu alisema hatuwezi kufanya maridhiano wakati Mwenyekiti wetu yuko jela.

Hatuwezi kufanya maridhiano wakati wanachama wetu sehemu mbali mbali za nch wamefungwa jela kwa mashtaka ya kubambikiza.

Hatuwezi kufanya maridhiano wakati baadhi ya wanachama na viongozi wako nje ya nchi wakihofia usalama wao.

Hatuwezi kufanya maridhiano ikiwa at least minimum environment haijawekwa sawa.

Hayo maridhiano au utopolo?

Zitto yuko very desparate na maridhiano kwa maslahi yake binafsi.

Tundu Lissu na Mbowe hawajawahi kushindwa linapofika swala la kutetea haki.

Msalimie Dr Wilbroad Slaa. Mwambieni Chadena bado inasonga.
Mada kama hzi hazijengi mkuu...utafanana na mataga ukiendelea hv
 
Ila hizi sarakasi hizi kuna watu watakuja kuvunjika mgongo🤸🤸🤸
 
Najaribu kuwaza kuwa pamoja na Chadema kuzuiwa kufanya siasa miaka 6, viongozi wake kufungwa na kujaribiwa kuuwawa, kunyanganywa usindi wake wa wabunge nk bado imezidi kuwa maarufu na tumaini la Watanzania wengi jee sasa itakapo Ingia rasmi mtaani kufanya siasa bila kizuizi cha kina Sirro hali itakuwaje?
Katiba mpya na tume huru vikipatikana mbogamboga watapona kweli au ndio itabaki story tuu?
 
Najaribu kuwaza kuwa pamoja na Chadema kuzuiwa kufanya siasa miaka 6, viongozi wake kufungwa na kujaribiwa kuuwawa, kunyanganywa usindi wake wa wabunge nk bado imezidi kuwa maarufu na tumaini la Watanzania wengi jee sasa itakapo Ingia rasmi mtaani kufanya siasa bila kizuizi cha kina Sirro hali itakuwaje?
Katiba mpya na tume huru vikipatikana mbogamboga watapona kweli au ndio itabaki story tuu?
Story tu watabaki...Mbogamboga wepesi mno kama pana uwanja sawa..
 
Najaribu kuwaza kuwa pamoja na Chadema kuzuiwa kufanya siasa miaka 6, viongozi wake kufungwa na kujaribiwa kuuwawa, kunyanganywa usindi wake wa wabunge nk bado imezidi kuwa maarufu na tumaini la Watanzania wengi jee sasa itakapo Ingia rasmi mtaani kufanya siasa bila kizuizi cha kina Sirro hali itakuwaje?
Katiba mpya na tume huru vikipatikana mbogamboga watapona kweli au ndio itabaki story tuu?
Siasa za Chadema ni za kutumia akili sana.
 
Najaribu kuwaza kuwa pamoja na Chadema kuzuiwa kufanya siasa miaka 6, viongozi wake kufungwa na kujaribiwa kuuwawa, kunyanganywa usindi wake wa wabunge nk bado imezidi kuwa maarufu na tumaini la Watanzania wengi jee sasa itakapo Ingia rasmi mtaani kufanya siasa bila kizuizi cha kina Sirro hali itakuwaje?
Katiba mpya na tume huru vikipatikana mbogamboga watapona kweli au ndio itabaki story tuu?
Mambo ni♨️♨️♨️♨️
 
Sote tunakumbuka Juzi juzi baada ya tundu Lisu kumaliza mazungumzo na Rais akiwa Ubelgiji Tundu Kama kawaida yake akili mingi mingi alimuwahi Mama na kuweka hadharani mada walizozungumzia. Kwa Mujibu wa Makamu mwenyekiti alidai kuwa Mh Rais alikubali kuwa atayashughulikia yale yote yanayoikwaza Tanzania.

Tunaona jambo moja baada ya jingine yakitekelezwa. Tunashukuru.

Maridhiano Maridhiano Maridhiano

Lissu alisema hatuwezi kufanya maridhiano wakati Mwenyekiti wetu yuko jela.

Hatuwezi kufanya maridhiano wakati wanachama wetu sehemu mbali mbali za nch wamefungwa jela kwa mashtaka ya kubambikiza.

Hatuwezi kufanya maridhiano wakati baadhi ya wanachama na viongozi wako nje ya nchi wakihofia usalama wao.

Hatuwezi kufanya maridhiano ikiwa at least minimum environment haijawekwa sawa.

Hayo maridhiano au utopolo?

Zitto yuko very desparate na maridhiano kwa maslahi yake binafsi.

Tundu Lissu na Mbowe hawajawahi kushindwa linapofika swala la kutetea haki.

Msalimie Dr Wilbroad Slaa. Mwambieni Chadena bado inasonga.
Whose wife has gone astray? "Nauliza". Chadema is indomitable.
 
dokta leo siku ya tatu hajalala kabisa, haamini kabisa kwamba Mh. Mbowe yu huru.
Slaa kumbe alikuwa anapambana akiwa chadema kwa sababu ya Uroho wa madaraka tu. The end justified the meaning
 
Sote tunakumbuka Juzi juzi baada ya tundu Lisu kumaliza mazungumzo na Rais akiwa Ubelgiji Tundu Kama kawaida yake akili mingi mingi alimuwahi Mama na kuweka hadharani mada walizozungumzia. Kwa Mujibu wa Makamu mwenyekiti alidai kuwa Mh Rais alikubali kuwa atayashughulikia yale yote yanayoikwaza Tanzania.

Tunaona jambo moja baada ya jingine yakitekelezwa. Tunashukuru.

Maridhiano Maridhiano Maridhiano

Lissu alisema hatuwezi kufanya maridhiano wakati Mwenyekiti wetu yuko jela.

Hatuwezi kufanya maridhiano wakati wanachama wetu sehemu mbali mbali za nch wamefungwa jela kwa mashtaka ya kubambikiza.

Hatuwezi kufanya maridhiano wakati baadhi ya wanachama na viongozi wako nje ya nchi wakihofia usalama wao.

Hatuwezi kufanya maridhiano ikiwa at least minimum environment haijawekwa sawa.

Hayo maridhiano au utopolo?

Zitto yuko very desparate na maridhiano kwa maslahi yake binafsi.

Tundu Lissu na Mbowe hawajawahi kushindwa linapofika swala la kutetea haki.

Msalimie Dr Wilbroad Slaa. Mwambieni Chadena bado inasonga.
Zitto ni msaka fursa
 
Back
Top Bottom