Tattoo

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,211
113,520
Hapo zamani niliwahi kutoka na msichana mmoja aitwaye Crystal. Nilikutana naye akiwa pre-med student na lengo lake lilikuwa ni kwenda medical school na baadaye kuja kuwa daktari wa watoto.

Sijui hawa mademu wasomi wasomi nilikuwa nawapataje tu maana elimu yangu mwenzenu hapa ni ya ngumbaru.

Basi bana siku moja akanijia na wazo la kujichora tattoo. Mimi nikamhoji anataka kujichora tattoo ya nini na wapi. Akasema anataka kujichora tattoo ya mkuki moyoni halafu juu yake ajichore jina langu: Nyani Ngabu.

Nilimshangaa na nikabaki nimeduwaa. Binafsi siyahusudishi kabisa matattoo. Sielewi kwa nini watu wanajichora. Kwangu naona kama naharibu tu ngozi yangu na likitu ambalo halifutiki (well, siku hizi kuna teknolojia za kufuta hizo tattoo lakini ni bei mbaya sana). Ukija kulichoka hilo litattoo utafanya nini? Aaah kila mtu na maamuzi yake na sipingi wengine kujichora. Ni kwamba tu mimi hapana. Sitaki huo uchafu.

Basi siku moja mimi niko ndani naangalia telly naye Crystal huyo akaingia. Akanisalimia na kunikumbatia mimi asali wake. Akaniambia ametoka kuchorwa ile tattoo aliyoniambia anataka kuchora. Nikamwuliza iko wapi hiyo tattoo. Akafungua vifungo vya blauzi yake na akanionyesha katikati kwenye titi lake la kushoto.....mkuki moyoni na jina langu - Nyani Ngabu kwa juu yake.

Sikutaka kumhoji sana lakini kichwani nikawa najisemea mwenyewe hivi huyu anajua kweli anachokifanya? Kwanza umeenda kuharibu mwili wako na kitu ambacho hakifutiki, pili unaandika jina langu huku huna uhakika kama tutakuwa pamoja milele.....nikatikisa kichwa na nikajinyamazia nisije onekana mpinga maendeleo au mpinga vitu ambavyo wengine wanapenda.

Baadaye tukaja kuachana na kila mtu akaenda kivyake. Nina uhakika kabisa baada ya mimi alitoka na njemba zingine. Heheheheee....kila nikifikiria kuwa hizo njemba wakati zinatomasa tomasa matiti yake zilikuwa zinaona jina langu....basi kila nikifikiria hivyo kichwa changu kinaongezeka ukubwa na sijui kwa nini.

Nimekutana tena na Crystal wiki hii na tumeongelea mambo mengi ikiwamo hiyo tattoo. Kasema bado anayo na hajutii kujichora. Sasa sijui nielewe vipi?
 
Just try to prove kama bado anayo...visima vya zamani havifukiwi mjomba.
 
Mkuu unafanyiwa promo!!!Mimi sizipendi kabiisaaaa ila kunakitu kwa hawa wenzetu nikuwa akijitoa kwako hata ufanyeje yeye anaona hakuna kingine duniani zaidi ya mpenzi wake kama natakukujua aweamekupenda utafanya kilakitu unachotaka juu yake yupo radhi! NAJINA LA NYNI ANALIFANYIA PROMO Ila kua ambazo azifutiki kabisaa ngoja nikuwekee uone!!!
 

Attachments

  • Tatoo yaukweli.JPG
    Tatoo yaukweli.JPG
    112.5 KB · Views: 124
Lol... eti Nyani Ngabu kwenye titi!!
Kama kweli hajutii kuweka tattoo hiyo hata baada ya kuwa mmeachana, basi huyo demu yaonekana ni mzuka! Ni bora kwamba kila mmoja alichukua chake.
Btw, je ulifanikiwa kuona/kujua kuwa alikuwa hana tattoo nyingine yoyote ile mwilini mwake aliyoweka kabla yako?!
 
Lol... eti Nyani Ngabu kwenye titi!!
Kama kweli hajutii kuweka tattoo hiyo hata baada ya kuwa mmeachana, basi huyo demu yaonekana ni mzuka! Ni bora kwamba kila mmoja alichukua chake.
Btw, je ulifanikiwa kuona/kujua kuwa alikuwa hana tattoo nyingine yoyote ile mwilini mwake aliyoweka kabla yako?!

Alikua na tramp stamp (ile ya nyuma kiunoni kati ya makalio na mgongo). Akivaa low cut jeans na ki top kifupi inaonekana.
 
...ungemchunguza zaidi....! Kama huyo Crystal anatokea Trinidad, yawezekana kabisa alikuwa tayari na tattoo nyingine ya Steve Dii kwenye t*ko lake kushoto!!
 
Lol... eti Nyani Ngabu kwenye titi!!
Kama kweli hajutii kuweka tattoo hiyo hata baada ya kuwa mmeachana, basi huyo demu yaonekana ni mzuka! Ni bora kwamba kila mmoja alichukua chake.
Btw, je ulifanikiwa kuona/kujua kuwa alikuwa hana tattoo nyingine yoyote ile mwilini mwake aliyoweka kabla yako?!


mkuu hapo ungemuuliza kama ali do ze nidiful in the first place? isije ikawa anatupa hadithi za MMM hapa lol
 
Hapo zamani niliwahi kutoka na msichana mmoja aitwaye Crystal. Nilikutana naye akiwa pre-med student na lengo lake lilikuwa ni kwenda medical school na baadaye kuja kuwa daktari wa watoto.

Sijui hawa mademu wasomi wasomi nilikuwa nawapataje tu maana elimu yangu mwenzenu hapa ni ya ngumbaru.

Basi bana siku moja akanijia na wazo la kujichora tattoo. Mimi nikamhoji anataka kujichora tattoo ya nini na wapi. Akasema anataka kujichora tattoo ya mkuki moyoni halafu juu yake ajichore jina langu: Nyani Ngabu.

Nilimshangaa na nikabaki nimeduwaa. Binafsi siyahusudishi kabisa matattoo. Sielewi kwa nini watu wanajichora. Kwangu naona kama naharibu tu ngozi yangu na likitu ambalo halifutiki (well, siku hizi kuna teknolojia za kufuta hizo tattoo lakini ni bei mbaya sana). Ukija kulichoka hilo litattoo utafanya nini? Aaah kila mtu na maamuzi yake na sipingi wengine kujichora. Ni kwamba tu mimi hapana. Sitaki huo uchafu.

Basi siku moja mimi niko ndani naangalia telly naye Crystal huyo akaingia. Akanisalimia na kunikumbatia mimi asali wake. Akaniambia ametoka kuchorwa ile tattoo aliyoniambia anataka kuchora. Nikamwuliza iko wapi hiyo tattoo. Akafungua vifungo vya blauzi yake na akanionyesha katikati kwenye titi lake la kushoto.....mkuki moyoni na jina langu - Nyani Ngabu kwa juu yake.

Sikutaka kumhoji sana lakini kichwani nikawa najisemea mwenyewe hivi huyu anajua kweli anachokifanya? Kwanza umeenda kuharibu mwili wako na kitu ambacho hakifutiki, pili unaandika jina langu huku huna uhakika kama tutakuwa pamoja milele.....nikatikisa kichwa na nikajinyamazia nisije onekana mpinga maendeleo au mpinga vitu ambavyo wengine wanapenda.

Baadaye tukaja kuachana na kila mtu akaenda kivyake. Nina uhakika kabisa baada ya mimi alitoka na njemba zingine. Heheheheee....kila nikifikiria kuwa hizo njemba wakati zinatomasa tomasa matiti yake zilikuwa zinaona jina langu....basi kila nikifikiria hivyo kichwa changu kinaongezeka ukubwa na sijui kwa nini.

Nimekutana tena na Crystal wiki hii na tumeongelea mambo mengi ikiwamo hiyo tattoo. Kasema bado anayo na hajutii kujichora. Sasa sijui nielewe vipi?

Mmh,mwenzetu jina lako halisi ni Nyani Ngabu?
 
Mimi uzoefu wangu kuhusu tatoo ni huu....

Wakati nipo college tulikuwa na tabia ya kwenda

jolly club.pale pembeni ya calirfornia dream just to have fun..

Sasa siku moja nikagundua karibu kila msichana anaejiuza pale ameweka
tatoo,
ajabu hata wasichana wageni kabisa wa jiji nao wana tatoo....
Ikabidi nimuulize mmoja,why kila msichana pale ana tatoo.....

Alinijibu kuwa wateja wao hasa wazungu wanapenda mno
wasichana wenye tatoo....

Toka siku hiyo nikuwa na negative opinion na wasichana wenye tatoo....

But nimesoma na wasichana wengi decent pia wana tatoo......

Na siku moja nilikuwa nasoma gq magazine la uk nikakuta article
inahusu wasichana wanaojiuza na tatoo....
In a way imenifanya siku zote niwachukuie wasichana wenye tatoto
kama machangudoa hivi ingawa najua sipo sahihi.....
 
Mimi uzoefu wangu kuhusu tatoo ni huu....

Wakati nipo college tulikuwa na tabia ya kwenda

jolly club.pale pembeni ya calirfornia dream just to have fun..

Sasa siku moja nikagundua karibu kila msichana anaejiuza pale ameweka
tatoo,
ajabu hata wasichana wageni kabisa wa jiji nao wana tatoo....
Ikabidi nimuulize mmoja,why kila msichana pale ana tatoo.....

Alinijibu kuwa wateja wao hasa wazungu wanapenda mno
wasichana wenye tatoo....

Toka siku hiyo nikuwa na negative opinion na wasichana wenye tatoo....

But nimesoma na wasichana wengi decent pia wana tatoo......

Na siku moja nilikuwa nasoma gq magazine la uk nikakuta article
inahusu wasichana wanaojiuza na tatoo....
In a way imenifanya siku zote niwachukuie wasichana wenye tatoto
kama machangudoa hivi ingawa najua sipo sahihi.....

Boss utashangaa...kuna watu na profession zao wakikuvulia nguo utabaki mdomo wazi. Kuna mmoja huyo nilimpataga anafanya kazi Centers For Disease Control and Prevention....yeye ni Epidemiologist na anakamata kisu cha nguvu tu. Ukimuona akiwa kavaa kwenda kazini anaonekana ni mtu ambaye hawezi kujichora chora matattoo (but of course looks can be deceiving).

Mwilini ana tattoo tano. Moja mgongoni, kwenye titi, kiunoni, kwenye kitovu, na ingine ya kipepeo kwenye paja karibu na mashine. Binafsi sielewi kwa nini watu wanajichora hayo matattoo..
 
...ungemchunguza zaidi....! Kama huyo Crystal anatokea Trinidad, yawezekana kabisa alikuwa tayari na tattoo nyingine ya Steve Dii kwenye t*ko lake kushoto!!

ha hahaa...Steve Dii Orijino in the house!
 
Boss utashangaa...kuna watu na profession zao wakikuvulia nguo utabaki mdomo wazi. Kuna mmoja huyo nilimpataga anafanya kazi Centers For Disease Control and Prevention....yeye ni Epidemiologist na anakamata kisu cha nguvu tu. Ukimuona akiwa kavaa kwenda kazini anaonekana ni mtu ambaye hawezi kujichora chora matattoo (but of course looks can be deceiving).

Mwilini ana tattoo tano. Moja mgongoni, kwenye titi, kiunoni, kwenye kitovu, na ingine ya kipepeo kwenye paja karibu na mashine. Binafsi sielewi kwa nini watu wanajichora hayo matattoo..

...urembo tu kaka, sawa na wanaojitoga vihereni.Lakini tatoo mbinde kuitoa, hata kwa skin grafting.
 
Tattoo is just an art or a way of expressing ones ideas kama ilivyo kwa mavazi, hair cuts,etc mi binafsi napenda tattoo ila sipendi body piercing lakini hiyo hainifanyi niwaone wanaofanya hivyo kuwa wa ajabu coz kuna uwezekano na wao wanawashangaa wanaonyoa vipara. Ila tattoo zenye majina ya watu ambao uhusiano wenu sio wa damu kama ilivyo kwa watoto au wazazi sio good idea at all.
 
mie nimewahi kukutana na mmoja ni mwalimu wa St .... alikuwa amechora tattoo ya ua kwenye paja pembeni kabisa ya mbunye nikamuuliza amechora wapi akaniambia kwenye kona ya UDSM kutokea Ubungo,

Nikamuuliza imekuwaje mpk mtu amchore kule bila kugusa mbunye akasema alikuwa amevaa nguo ya kuogelea ila anadai mkono ulikuwa unafika juu ya mbunye na jamaa alikuwa anasimamisha lakini alimaliza bila tatizo la kiufundi
 
mie nimewahi kukutana na mmoja ni mwalimu wa St .... alikuwa amechora tattoo ya ua kwenye paja pembeni kabisa ya mbunye nikamuuliza amechora wapi akaniambia kwenye kona ya UDSM kutokea Ubungo,

Nikamuuliza imekuwaje mpk mtu amchore kule bila kugusa mbunye akasema alikuwa amevaa nguo ya kuogelea ila anadai mkono ulikuwa unafika juu ya mbunye na jamaa alikuwa anasimamisha lakini alimaliza bila tatizo la kiufundi


Hivi ni wapi wanatoa kozi za kuchora tattoo? Maana nimegundua ni njia rahisi zaidi ya kujitafunia warembo!
 
Back
Top Bottom