mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 6,631
- 18,669
Yeah, nchi kama nchi haina tatizo, tatizo ni hao walioko kwenye serikali.
Ndoto za wengi zimeyeyuka na kutoweka na zinaendelea kuyeyuka kwakuwa walioko huko serikalini ni genge la wabinafsi sana.
Utakubaliana na mimi ,umaskini wa watu at Household level au individual level unachangiwa kwa alimianzaidi ya 90 na so called serikali . Amini kwamba
Ndoto za wengi zimeyeyuka na kutoweka na zinaendelea kuyeyuka kwakuwa walioko huko serikalini ni genge la wabinafsi sana.
Utakubaliana na mimi ,umaskini wa watu at Household level au individual level unachangiwa kwa alimianzaidi ya 90 na so called serikali . Amini kwamba