nani kaenda shule tanzania?, angalia nchi yako ilivyo miaka mingapi sasa ya uhuru? bado umasikini ni tatizo, Maji ya bomba ni machafu, miundo mbinu mibovu, foleni kila dakika, vumbi kila sehemu, watu hawakusoma walio soma elimu mbovu hakuna wanachofanya ni wizi tu.
Raisi wa awamu ya nne kasoma, kafanya nini, awamu ya tatu kafanya nini? awamu ya pili kafanya nini?. kipindi chote hiki kulikuwa hakuna uadilifu, wizi, rushwa, madawa ya kulevya ,WOTE WAMEIBA WAMEMALIZA MADALAKA YAO. MIMI NA WEWE, NA MASIKINI WENGI WAKITANZANIA TUNA NINI, TUNANUFAIKA VIPI NA NCHI YETU.