Tatizo si vyeti- ni kuelimika

Ekasi

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
482
302
Viongozi wengi waadilifu waliopita hawakuwa na madegree msiongopewe wenye vyeti ndio wajinga na wezi wa kwanza

Kila kiongozi ana mfumo wake ambao anautumia ktk utawala (leadership style). Bila ya kuwa na mfumo huwezi kuwa kiongozi.

Watanzania tulizoea mifumo potofu kutoka kwa viongozi (maraisi waliopita) rushwa, uzembe kazini, wizi, madawa ya kulevya, watoto wa viongozi kuwa juu ya sheria, viongozi kuweka watoto wao kwenye madaraka bila kufuata taratibu na wengine hawanasifa.

Asilimia 99% ya watanzania bado wanaishi na watapata risiki kwa kutimia mifumo hii potofu, wako viongozi, maasfofu, masheak, na watanzania wengine wengi "Ndio maana raisi anajitahidi kuondoa haya yote anaoneka mtu mbaya" lazima uzunguko wa pesa upungue hakuna mfumo unaozungusha pesa kama mfumo potofu (shule hawataki, majungu ndio maisha yao, jaziba, matusi na wanashindwa kutatua matatizo yao familia mpaka kazini(controlled by emotions). Ndio maana raisi kaliona hili anajalibu kuwatoa CCM mpaka serikalini.

NB: Change is good, tumsupport rais tusiongopewe na wafa maji walishazoea kututenga na kutunyayasa na pesa za wizi na madawa. Tutafika tu tuwe na subira.
Rome haijajengwa siku moja- acheni upumbavu tutumie elimu zetu kwenye kila jambo sio kusumbuliwa na wana siasa wasio na sifa.
 
N
VIONGOZI WENGU WAADILIFU WALIO PITA AWAKUWA NA MADGREE MSIONGOPEWE WENYE VYETI NDIO WAJINGA NA WEZI WAKWANZA

KILA KIONGOZI ANA MFUMO WAKE AMBAO ANAUTUMIA KTK UTAWALA (LEADERSHIP STYLE). BILA YA KUWA NA MFUMO UWEZI KUWA KIONGOZI.
WATANZANIA TULIZOEA MIFUMO POTOFU KUTOKA KWA VIONGOZI (MARAISI WALIOPITA) RUSHWA, UZEMBE KAZINI, WIZI, MADAWA YA KULEVYA, WATOTO WA VIONGOZI KUWA JUU YA SHERIA, VIONGOZI KUWEKA WATOTO WAO KWENYE MADARAKA BILA KUFUATA TARATIBU NA WENGINE HAWANASIFA. ASILIMIA 99% YA WATANZANIA BADO WANAISHI NA WATAPATA RISIKI KWA KUTIMIA MIFUMO HII POTOFU, WAKO VIONGOZI, MAASFOFU, MASHEAK, NA WATANZANIA WENGINE WENGI "NDIO MAANA RAISI ANAJITAHIDI KUONDOA HAYA YOTE ANAONEKA MTU MBAYA" LAZIMA UZUNGUKO WA PESA UPUNGUE HAKUNA MFUMO UNAOZUNGUSHA PESA KAMA MFUMO POTOFU(SHULE HAWATAKI, MAJUNGU NDIO MAISHA YAO, JAZIBA, MATUSI NA WANASHINDWA KUTATUA MATATIZO YAO FAMILIA MPAKA KAZINI(CONTROLLED BY EMOTIONS). NDIO MAANA RAISI KALIONA HILI ANAJALIBU KUWATOA CCM MPAKA SERIKALINI.

NB: CHANGE IS GOOD, TUMSUPPORT RAISI TUSIONGOPEWE NA WAFA MAJI WALISHAZOEA KUTUTENGA NA KUTUNYAYASA NA PESA ZA WIZI NA MADAWA. TUTAFIKA TU TUWE NA SUBIRA.
ROME HAIJAJENGWA SIKU MOJA- ACHENI UPUMBAVU TUTUMIE ELIMU ZETU KWENYE KILA JAMBO SIO KUSUMBULIWA NA WANA SIASA WASIO NA SIFA.
Nahisi wewe hujui kitu. Maisha ni uchumi. Wananchi wanahitaji uchumi wao. Hivi ni mfumo upi unatumika hapa ili wananchi wapate uchumi wao?
 
Wajinga wawili

C7qrqc0VUAEh-oQ.jpg
 
Viongozi wengi waadilifu waliopita hawakuwa na madegree msiongopewe wenye vyeti ndio wajinga na wezi wa kwanza

Kila kiongozi ana mfumo wake ambao anautumia ktk utawala (leadership style). Bila ya kuwa na mfumo huwezi kuwa kiongozi.

Watanzania tulizoea mifumo potofu kutoka kwa viongozi (maraisi waliopita) rushwa, uzembe kazini, wizi, madawa ya kulevya, watoto wa viongozi kuwa juu ya sheria, viongozi kuweka watoto wao kwenye madaraka bila kufuata taratibu na wengine hawanasifa.

Asilimia 99% ya watanzania bado wanaishi na watapata risiki kwa kutimia mifumo hii potofu, wako viongozi, maasfofu, masheak, na watanzania wengine wengi "Ndio maana raisi anajitahidi kuondoa haya yote anaoneka mtu mbaya" lazima uzunguko wa pesa upungue hakuna mfumo unaozungusha pesa kama mfumo potofu (shule hawataki, majungu ndio maisha yao, jaziba, matusi na wanashindwa kutatua matatizo yao familia mpaka kazini(controlled by emotions). Ndio maana raisi kaliona hili anajalibu kuwatoa CCM mpaka serikalini.

NB: Change is good, tumsupport rais tusiongopewe na wafa maji walishazoea kututenga na kutunyayasa na pesa za wizi na madawa. Tutafika tu tuwe na subira.
Rome haijajengwa siku moja- acheni upumbavu tutumie elimu zetu kwenye kila jambo sio kusumbuliwa na wana siasa wasio na sifa.
So unataka kumtetea BASHITE?,Acha maneno weka VYETI.
 
Kwahiyo kuelimika ni pamoja na kuiba cheti?

Wewe umeelimika kias gani labda na kwa uthibitisho gani? tuanzie hapo kwanza.
 
MKUU WA MKOA ANATUHUMIWA KAFANYA UJAMBAZI:
1. FUNGUA KESI KAZI YA (CLOUDS)
2. AKAMATWE (HAYUKO JUU YA ASHERIA) KAZI YA POLICE
3. MAHAKAMANI (MWAJILI WAKE ATAPEWA HABARI)-RAISI SIO WAZIRI YOYOTE
RAISI ATAFANYA MAAMUZI KUMBUKA SIO JAMBAZI KWANI BADO NI MTUHUMIWA.
3. RAISI ANAWEZA KUMPA HABARI WAZIRI (NAPE), BADO NI MTUHUMIWA NA WAZIRI ANAWEZA KUKUTANA NA WANA HABARI NA KUWAELEZA KILICHOTOKEA. NA WANAICHI WATAFAHAMU KUPITIA VYMBO VYA HABARI.
4. NAPE ANALANI KITENDO NA KUSUBILI MAHAKAMA ITOWE HUKUMU.

NB: KAKULUPUKA(kwa ajili ya urafiki wake na clouds, uwadui wake na makonda. TUME SIKU MBILI( define the problem, gather information, analyse information, generate alternatives, select the best solution and implement). "There is no professionalism on this" ni uwadui tu. Nape don't make decisions based on emotions, you will never win an intelligent person
like our president, and dont do things to impress friends(clouds) remenber you were the minister. ELIMU SIO VYETI TU WACHA WATU WAFANYE KAZI YA KUWAKOMBOA MASIKINI TUMENYANYASIKA MIAKA MMINGI
 
Kuna uzi mmoja humu wa kipu mbavu niliuona nikasema huna point za kuongea si lazma uandike kitu soma tu walivyoandika wenzio...
 
Viongozi wengi waadilifu waliopita hawakuwa na madegree msiongopewe wenye vyeti ndio wajinga na wezi wa kwanza

Kila kiongozi ana mfumo wake ambao anautumia ktk utawala (leadership style). Bila ya kuwa na mfumo huwezi kuwa kiongozi.

Watanzania tulizoea mifumo potofu kutoka kwa viongozi (maraisi waliopita) rushwa, uzembe kazini, wizi, madawa ya kulevya, watoto wa viongozi kuwa juu ya sheria, viongozi kuweka watoto wao kwenye madaraka bila kufuata taratibu na wengine hawanasifa.

Asilimia 99% ya watanzania bado wanaishi na watapata risiki kwa kutimia mifumo hii potofu, wako viongozi, maasfofu, masheak, na watanzania wengine wengi "Ndio maana raisi anajitahidi kuondoa haya yote anaoneka mtu mbaya" lazima uzunguko wa pesa upungue hakuna mfumo unaozungusha pesa kama mfumo potofu (shule hawataki, majungu ndio maisha yao, jaziba, matusi na wanashindwa kutatua matatizo yao familia mpaka kazini(controlled by emotions). Ndio maana raisi kaliona hili anajalibu kuwatoa CCM mpaka serikalini.

NB: Change is good, tumsupport rais tusiongopewe na wafa maji walishazoea kututenga na kutunyayasa na pesa za wizi na madawa. Tutafika tu tuwe na subira.
Rome haijajengwa siku moja- acheni upumbavu tutumie elimu zetu kwenye kila jambo sio kusumbuliwa na wana siasa wasio na sifa.

Uongozi unakuja na UADILIFU,kama umekosa UADILIFU huwezi kusimamia unachoamini.JPM na Makonda wote siyo waadilifu ndiyo sababu hata ujinga wanaukubali.
 
watanzania hatutaki kazi, tunapenda maisha raini( kuuza madwa, wizi, uongo NA NDIO MIFUMO YA NYUMA UMETUFUDISHA sasa kajua mtu mwadilifu hakuna ujanja SOMA, FANYA BIASHARA LEGALLY, NENDA KAZINI KATUMIE ELIMU YAKO "KAWA UBAYA" NDIO MAANA WAZUNGU WAMETUACHA MBALI SANA KWAO ELIMU NAMBA MOJA, INTEGRITY, WANAFANYA KAZI SANA. WEWE UKU TANDALE SHULE UTAKI, BABA ANAUZA MADAWA, MAMA UMBEYA, KAKA ANAUZA BANGI, DADA MALAYA. unamchukia magufuri TUBADILIKE
 
Viongozi wengi waadilifu waliopita hawakuwa na madegree msiongopewe wenye vyeti ndio wajinga na wezi wa kwanza

Kila kiongozi ana mfumo wake ambao anautumia ktk utawala (leadership style). Bila ya kuwa na mfumo huwezi kuwa kiongozi.

Watanzania tulizoea mifumo potofu kutoka kwa viongozi (maraisi waliopita) rushwa, uzembe kazini, wizi, madawa ya kulevya, watoto wa viongozi kuwa juu ya sheria, viongozi kuweka watoto wao kwenye madaraka bila kufuata taratibu na wengine hawanasifa.

Asilimia 99% ya watanzania bado wanaishi na watapata risiki kwa kutimia mifumo hii potofu, wako viongozi, maasfofu, masheak, na watanzania wengine wengi "Ndio maana raisi anajitahidi kuondoa haya yote anaoneka mtu mbaya" lazima uzunguko wa pesa upungue hakuna mfumo unaozungusha pesa kama mfumo potofu (shule hawataki, majungu ndio maisha yao, jaziba, matusi na wanashindwa kutatua matatizo yao familia mpaka kazini(controlled by emotions). Ndio maana raisi kaliona hili anajalibu kuwatoa CCM mpaka serikalini.

NB: Change is good, tumsupport rais tusiongopewe na wafa maji walishazoea kututenga na kutunyayasa na pesa za wizi na madawa. Tutafika tu tuwe na subira.
Rome haijajengwa siku moja- acheni upumbavu tutumie elimu zetu kwenye kila jambo sio kusumbuliwa na wana siasa wasio na sifa.
si bashite wala
jpm wote hawana vyeti pia hawajaelimika. unasemaje kwa hilo mkuu.
 
WAADILIFU VIONGOZI WALIOPITA(AHAHHAHAHAHHA). NINI MAANA YA UADILIFU BOSS ? NO CORRUPTION, KUSANYA KODI, JENGA NCHI, TOA ELIMU BORA, ONDOA UMASIKINI. WEKA NIZAMU KAZINI, WEKA HAKI KWENYE MAHAKAMA, ONDOA MARADHI YANAYOTIBIKA, TOA VIONGOZI WEZI. KUMBUKA MAPROFESA KAMA MAMA MMOJA KUTOKA BUKOBA KAFANYA KAZI UNITED NATION LAKINI KAIBA PESA ZA TANESCO.( KAENDA SHULE KUONA MAJENGO HAJAELEIMIKA------ELIMU SIO VETI NI JINSI GANI UNAVYOYUMIA ELIMU YAKO KUTATUA MATATIZO YAKO NA JAMII YOUE KWA UJUMLA....WAZILI MKUU WA UINGEREZA ALIYEPITA(MAJOR) NI FORM SIX TU, KAJENGA NCHI YAKE NA KUSAIDI WOTE
 
Zuma raisi wa south africa ajasoma....angalia cv yake. sisii na south africa nani anamaisha?. acha woga na siasi fanya kazi
 
WAADILIFU VIONGOZI WALIOPITA(AHAHHAHAHAHHA). NINI MAANA YA UADILIFU BOSS ? NO CORRUPTION, KUSANYA KODI, JENGA NCHI, TOA ELIMU BORA, ONDOA UMASIKINI. WEKA NIZAMU KAZINI, WEKA HAKI KWENYE MAHAKAMA, ONDOA MARADHI YANAYOTIBIKA, TOA VIONGOZI WEZI. KUMBUKA MAPROFESA KAMA MAMA MMOJA KUTOKA BUKOBA KAFANYA KAZI UNITED NATION LAKINI KAIBA PESA ZA TANESCO.( KAENDA SHULE KUONA MAJENGO HAJAELEIMIKA------ELIMU SIO VETI NI JINSI GANI UNAVYOYUMIA ELIMU YAKO KUTATUA MATATIZO YAKO NA JAMII YOUE KWA UJUMLA....WAZILI MKUU WA UINGEREZA ALIYEPITA(MAJOR) NI FORM SIX TU, KAJENGA NCHI YAKE NA KUSAIDI WOTE
Mbona mnajifanya vipofu nyi nyi magamba swala sio elimu ya bashite

Tatizo ni kwa nini ametumia cheti cha mtu mwingine kuajiriwa kitu ambacho sio sahihi wakati waliofanya hivyo wamewajibishwa tena wanyonge wa hali ya chini

Tatizo sio elimu tatizo kaiba vyeti vya mtu mwingine ya Zuma tuyaache maana hajasoma ila anasikiliza ushauri
 
Zuma raisi wa south africa ajasoma....angalia cv yake. sisii na south africa nani anamaisha?. acha woga na siasi fanya kazi
Hajasoma ila anasikiliza ushauri

Amesoma ila hasikilizi mtu

We huoni tofauti hapo
 
Kama huna cha kuandika watu wakakuelewa acha maana itakuwa mjinga sana kuwaelimisha watu walioelimika na hill jambo lako.
 
Viongozi wengi waadilifu waliopita hawakuwa na madegree msiongopewe wenye vyeti ndio wajinga na wezi wa kwanza

Kila kiongozi ana mfumo wake ambao anautumia ktk utawala (leadership style). Bila ya kuwa na mfumo huwezi kuwa kiongozi.

Watanzania tulizoea mifumo potofu kutoka kwa viongozi (maraisi waliopita) rushwa, uzembe kazini, wizi, madawa ya kulevya, watoto wa viongozi kuwa juu ya sheria, viongozi kuweka watoto wao kwenye madaraka bila kufuata taratibu na wengine hawanasifa.

Asilimia 99% ya watanzania bado wanaishi na watapata risiki kwa kutimia mifumo hii potofu, wako viongozi, maasfofu, masheak, na watanzania wengine wengi "Ndio maana raisi anajitahidi kuondoa haya yote anaoneka mtu mbaya" lazima uzunguko wa pesa upungue hakuna mfumo unaozungusha pesa kama mfumo potofu (shule hawataki, majungu ndio maisha yao, jaziba, matusi na wanashindwa kutatua matatizo yao familia mpaka kazini(controlled by emotions). Ndio maana raisi kaliona hili anajalibu kuwatoa CCM mpaka serikalini.

NB: Change is good, tumsupport rais tusiongopewe na wafa maji walishazoea kututenga na kutunyayasa na pesa za wizi na madawa. Tutafika tu tuwe na subira.
Rome haijajengwa siku moja- acheni upumbavu tutumie elimu zetu kwenye kila jambo sio kusumbuliwa na wana siasa wasio na sifa.
Mbona Rais anateuwa Ma profesa, Madaktari hasa waliokuwa kwenye vyuo?
 
Uchumi sio kuuza madawa, wizi na kukataa kazi na shule. kama utaki kufanya kazi utazalisha nini, kama huna shule utapata wapi akili ya kuzalisha.........UCHUMI SIO SIKU MOJA LINAHITAJI AKILI NA UMOJA
 
Back
Top Bottom