REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,451
- 9,373
Wadau niende moja kwa moja kwenye mada hii inawahusu wana familia hususani wana ndoa hii tabia ipo mijini na vijijini
Unakuta baba au mama lakini mara nyingi kina baba, ana familia mke na watoto na hayupo mbali na nyumbani au anatoka nyumbani kabisa anafika mgahawani anagiza chakula, au kwenye banda la chips anagiza chipsi na mishikaki kadhaa ana kula, ukifutilia nyumbani mkewe yupo watoto wapo tatizo nini, uchoyo, ujinga au uroho?
Familia zingine utaona mtu na mkewe wameongozana kwenye mabanda ya chips na nyama choma ukiuliza vipi watoto utasikia aaah bwana kuna mboga imepikwa uko haipandi kabisa ajabu unaona mkewe yupo naye ila watoto au dada wa kazi wamewaacha nyumbani
Unakuta baba au mama lakini mara nyingi kina baba, ana familia mke na watoto na hayupo mbali na nyumbani au anatoka nyumbani kabisa anafika mgahawani anagiza chakula, au kwenye banda la chips anagiza chipsi na mishikaki kadhaa ana kula, ukifutilia nyumbani mkewe yupo watoto wapo tatizo nini, uchoyo, ujinga au uroho?
Familia zingine utaona mtu na mkewe wameongozana kwenye mabanda ya chips na nyama choma ukiuliza vipi watoto utasikia aaah bwana kuna mboga imepikwa uko haipandi kabisa ajabu unaona mkewe yupo naye ila watoto au dada wa kazi wamewaacha nyumbani