Tatizo ni kutokukubali ukweli..

Tatizo ni kutokukubali ukweli..

mdudu unga

Senior Member
Joined
Mar 30, 2017
Posts
110
Reaction score
160
Salaam, wakuu suala visasi, ukatili na usaliti vimekuwa ni jambo la kawaida kwa sasa miongoni mwa jamii..

Unakuta mke wa mtu anachepuka na vijana mtaani, vivyo hivyo kwa wanaume pia na mabint za watu.. Hii inatokana na ukweli kwamba mbegu uliyoipanda toka awali, leo ndiyo unakuja kuoma matunda yake..

Mwanamke akikwambia hakupendi achana naye kwani anakuepusha na balaa ambalo hautotaka kuja kuwa chanzo cha hilo balaa..

Bora ukubali ukweli utakaokuuma kwa muda mfupi, kuliko kurubuniwa na kupewa matumaini hewa yatakayokuja kukugharimu maisha yako kwa muda mrefu hapa duniani..
 
Kulazimisha penzi ni sawa na kulazimisha fani.... Wahenga walisema mpende akupendae, asiekupenda achana nae
 
Kukataliwa inauma ila kwa kua utakua umempotez MTU ambaye hakupend sio mbaya sana
 
Hatari kuna jamaa yangu alitongoza miezi 6 hila saivi mtoto katulia na family wametulia
 
Kukataliwa for the first time ndo mwanzo wa kujenga penzi bora...usinikubali haraka haraka mimi.
 
Back
Top Bottom