nkumbison
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 2,219
- 2,971
Hapo jaribu ku configure keyboard in Us keybord maana kuna layout tofauti tofauti kulingana na mazingira. Hiyo inaweza kuwa moja ya sababu.
Pia jaribu kutoa betri na uiiwashe bola kuavhia power butyon kwa dk1 au zaidi hapo ni nila kuchomeka ktk umeme.
Tatu jaribu kucheki bios setting kama kuna setting ya kiboard au uiselekti default.
Mbali na hapo kamuone fundi mtaalamu huku ukiwa umejiandaa na si chini ya elfu sabini endapo itahitajika keyboard nyingine mpya.
Pia jaribu kutoa betri na uiiwashe bola kuavhia power butyon kwa dk1 au zaidi hapo ni nila kuchomeka ktk umeme.
Tatu jaribu kucheki bios setting kama kuna setting ya kiboard au uiselekti default.
Mbali na hapo kamuone fundi mtaalamu huku ukiwa umejiandaa na si chini ya elfu sabini endapo itahitajika keyboard nyingine mpya.
keyboard ipo hivi
View attachment 1118917