The_bushman
Senior Member
- Jun 29, 2018
- 114
- 105
Mkuu pc yangu ukiplay video inascratch ila sauti inaendelea kama kawaida.....alafu natmia firefox inashindwa kuingia mtandaon
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
HP EliteBook 2560Ni aina gani ya pc na ni kampuni gani?
Anti Virus iliyokuwepo ni avast nimei unstall, smadav nimeidsable, labda windows defender itakuwa tatzo..... Nifanye!??Uwa unakumbuka kudisable antivirus ??
Anti Virus iliyokuwepo ni avast nimei unstall, smadav nimeidsable, labda windows defender itakuwa tatzo..... Nifanye!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pc yangu ukiplay video inascratch ila sauti inaendelea kama kawaida.....alafu natmia firefox inashindwa kuingia mtandaon
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumia windows 10....imeexpire yaan inanihitaji kuActivate windows... Uliweka link niifuate lakin nilipofanya hvyo bad kudownload na nilipoUnzipp file husika Pc iliandka operation fail...... Ukaniuliaza kama nilikuwa nimedisable anti-virusMkuu ni tatizo la muda embu fanya kunikumbusha ilikuwaga ni nini shida?
Nimejarbu update driver ina connect lakini sauti haitiki kwenye spekerAnyway windows 10 nyingi ukiwa unaweka kweny hizi latest pc uwa zinakuwa na default drivers ya kila hardware ulokuwa nayo Kwenye pc yako, so japo sifaham sana matumizi yako ila kama unaweza uwe una-update driver ya network na kama ukiwa ni Drivers zote bas update zote, na next time kusolve tatizo kama ilo sio lazima upige windows yote chini kuna njia nyepes kama kujua tatizo, kama vile driver imecorrupt so unaiweza ukafanya repair.
Natumia windows 10....imeexpire yaan inanihitaji kuActivate windows... Uliweka link niifuate lakin nilipofanya hvyo bad kudownload na nilipoUnzipp file husika Pc iliandka operation fail...... Ukaniuliaza kama nilikuwa nimedisable anti-virus
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia laptop yang nashangaa ghafla tu nimechomeka chaja baada ya kuisha chaj nilipotaka kuitumia.... Inaniandikia charger is plugged in, Not charging........ Na nikichomoa chaja inazima..... Tatzo nn!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ninatumia techno n smart phone Ila kunamtu ameniunganisha cjui na app gan maana nimekua kama mic na yy n speaker kila ninachowasiliana anakipata cjui nifanyaje kitendo icho kinaniboa
Mkuu pc yangu ina shida nikiwasha Kwenye batan inaonyesha kuwa imewaka ila kwenye display haiwak tatzo nn?
ilianza hv pc yangu inaweza kaa had Week nzma nikiwa sjaitumia kabisaa na hii tabia ilianza baada ya kuwa sjaiwasha muda nakja kuiwasha ikaaleta hii tabia badaye nikajrbu kuweka cd ya window ikakubal nikaitumia ila nikiizma tu nikja kuwasha ina lud vilvile ikbd nibadl Window Ktoka window 7 nikawka window 10 ikatumika kama Nusu saa tu nikaizma baadye nakja kuiwasha ikalud vilevile msaada tafadhal Pc ipo ndan kama week 3 sasa