Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,468
- 6,354
Nibonyeza batan haiandiki kituKeyboard ina tatizo gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nibonyeza batan haiandiki kituKeyboard ina tatizo gani?
MSAADA mkuu, kuna VIRUSI flan wameingia kwenye system yangu ya PC wana badilisha program zote zinakua Zero byte, Wanasumbua sana mana Wanakula program zote zilizopo kwenye computer. Nawezaje kuwatoa?
Hapo inabid ukabadilishe keyboard mkuu
Yapi kwenye kiooKwenye kioo?
Na ni pc gani hiyo?
Sasa si uweke yako we hauna?!Tecno K9 ilifanyiwa reset sasa kila nikitaka kuiwasha inadai google acc ile ya mwanzo na hii simu ilinunuliwa mkono kwa mtu so alikuwa akitumia google acc ya jamaa aliyemuuzia.
Mnanisaidiaje hapa?
Huwa inatakaga acc ya mwanzo kabisa....tekno bhnaSasa si uweke yako we hauna?!
Yap...... Teena nime unstall kabsa...... Nilikuwa na SAMADAV, & AVAST....... Nimebaki na Windows defender tu.Uwa unakumbuka kudisable antivirus ??
Asante sana mkuuTafuta graphics drivers za hiyo pc tatizo litaisha, zinapatikana online free tu.
Mkuu laptop yangu inafeli aina ya getway imekuwa nzito sana yaani saana natumia windows 7 basic inaram 1 gb halafu kwa chini inapata moto kinooma nataka iwe nyepesi tuu ili niingize autocad na kazi nayo nifanyeje??!