Tatizo liko wapi kumuoa msichana aliye Bikra?

Tatizo liko wapi kumuoa msichana aliye Bikra?

kwanza kwamtoro unazungumzia bikira ya wapi...?
 
Last edited by a moderator:
Wako wengi sana mabikra ila shida yao kubwa itakuchukua muda sana yeye kusikia raha kwa sababu kila utakapokuwa unataka kula mzigo atakuwa anakusumbua sana ukijaribu kugusisha na kibamia atakuwa anaruka utafikili kapigwa na shoti ya umeme
faida yake ni kukaa naye muda sana bila kufikiria kama kuna mwanaume anaweza kula dudu yake na kama utakuwa umemuoa kutoka katika familia zenye dini hakika mtakufa na kuzikana bila yeye kutoka nje ya ndoa.
 
Siku hizi kupata bikra ni nadra sana(nakiri wapo)... wengi hutumia 'bikra' kama marketing strategy...lakini huwa hakuna kitu.

Je ikiwa mume akagundua usiku wa harusi kuwa mkewe si bikra?

Ni vyema kupeana hamasa kabla ya kula kiapo...ni sawa na kuingia mkataba bila ya kujua mafaa ya bidhaa husika...!!
 
siku hizi wanaweka limao na utabaniwa pelvis hadi ub*0 unachanika hiyo ndo bikira. hakatwi mtu hapa!
 
[FONT=book
antiqua]Nimeuliza swali hili sababu ya jambo ambalo
ameniambia mchumba wangu kuhusu rafiki yake aliyepotoze mahusiano yake
sababu ni bikira. Kijana alimuomba rafiki yake wa sex. Binti alimuambia
kwamba yawapasa wasubiri mpaka usiku wa harusi
[/FONT]
[FONT=Times New
Roman][FONT=book
antiqua]yao[/FONT]
[/FONT][FONT=book
antiqua]. Jambo lakushangaza kijana akamwambia awezi
kumuoa bikira.

Je ni kosa kwa wasichana kujichunga wao wenyewe mpaka siku ya
ndoa?
[/FONT]


Lipi la Maana? Kumuoa msichana ambaye amejichunga
na kutoshiriki tendo la ndoa au kumuoa msichana ambaye amefanya mapenzi
na wanaume tofauti?

[FONT=Times New
Roman]Angalizo, Sijasema ni lazima kuoa bikira, ila ni
mwanamke sahihi kwa wewe. Ametokea ni bikira, utamkataa kwa sababu
hiyo?
[/FONT]

Sijaipenda kabisa tabia ya huyo mchumba wako!ni MMBEA!sasa alikuwa anakusimulia wewe inahusu nn?au ndio nyie kwenye mahusiano bdala muongee mambo yenu mnadiscus watu?Leo unaona raha ngoja umuoe utajuta kila kitakachofanyika ndani kwenu mashosti zake wote watajua!wadada vp mbona tunaanikane tena?
 
Aliye na bikra apongezwe na anafaa sana kua mke. Hatokua na comparison case hata kama uume ukoje yeye yote sawa. Pia atakua mvumilivu hata kustahimili long distance relationship coz ni mvumilivu by nature.
Asiye oa bikra nae ni mzinzi tu kakubuhu sina nia mbaya hapa, ila tunaambiwa tuikimbie zinaa.
Oa bikra bana, u will be his first tcher and step by step the lady wil have xperience frm u just like othrs.. Jamani mabikra endeleeni kujitunza its worthy, and u will see ts benefis whn u marry a gentle man who values womanhood..
 
Sijaipenda kabisa tabia ya huyo mchumba wako!ni MMBEA!sasa alikuwa anakusimulia wewe inahusu nn?au ndio nyie kwenye mahusiano bdala muongee mambo yenu mnadiscus watu?Leo unaona raha ngoja umuoe utajuta kila kitakachofanyika ndani kwenu mashosti zake wote watajua!wadada vp mbona tunaanikane tena?

@azalea wewe ulishawahi kupewa malavi davi wewe? Lazima utaongea yaliyo jificha moyoni, chezeya!!!

 
Back
Top Bottom