Tatizo liko wapi kumuoa msichana aliye Bikra?

Tatizo liko wapi kumuoa msichana aliye Bikra?

[FONT=book
antiqua]@azalea wewe ulishawahi kupewa malavi davi wewe? Lazima
utaongea yaliyo jificha moyoni, chezeya!!!

[/FONT]

Upuuzi mtupu!ndio maana wanawake tuishi kwa akili na wanaume!coz huwezi kuta mwanamme timamu anakusimulia mambo ya rafiki zake,Wanawake sasa.!kila kitu hadharani ngoja siku bibie akosee kidogo atachambwa yeye na shosti zake wote!si anajua weaknes zao.
 
Upuuzi mtupu!ndio maana wanawake tuishi kwa akili na wanaume!coz huwezi kuta mwanamme timamu anakusimulia mambo ya rafiki zake,Wanawake sasa.!kila kitu hadharani ngoja siku bibie akosee kidogo atachambwa yeye na shosti zake wote!si anajua weaknes zao.

Loohh!!!! umepanic
 
so far nishakutana na wanawake mabikra watatu, sema mambo yalikuwa mabaya tukaachana.

from my experience nikikaa na mwanamke wiki nzima naweza kujua kama ni bikra au la
 
Mabikra mbona wengi tu.
Kujiheshimu ndo mpango mzima. Oa bikra atleast ana sifa ambayo wengine wameipoteza.....nayo ni uvumilivu
 
Nimeuliza swali hili sababu ya jambo ambalo ameniambia mchumba wangu kuhusu rafiki yake aliyepotoze mahusiano yake sababu ni bikira. Kijana alimuomba rafiki yake wa sex. Binti alimuambia kwamba yawapasa wasubiri mpaka usiku wa harusi yao. Jambo lakushangaza kijana akamwambia awezi kumuoa bikira.

Je ni kosa kwa wasichana kujichunga wao wenyewe mpaka siku ya ndoa?


Lipi la Maana? Kumuoa msichana ambaye amejichunga na kutoshiriki tendo la ndoa au kumuoa msichana ambaye amefanya mapenzi na wanaume tofauti?

Angalizo, Sijasema ni lazima kuoa bikira, ila ni mwanamke sahihi kwa wewe. Ametokea ni bikira, utamkataa kwa sababu hiyo?

Ma bikra yalishapitwa na wakati ki ukweli. Kwanza hazipo ni kuvizia sana! za nini sasa if i may ask?
 
Kuna kautepe kangu nakasubiria kasije soma huu uzi nikanyimwa mautam!
 
Ni vigumu sana kukuamini hata
kama hutanii coz siku hizi mabinti huanza mapenzi wakiwa na umri mdogo
sana hata akiwa getikali kiasi gani.

Mi ni bikra na namtafuta mwanaume bikra pia,ndio wewe?
 
Si kuna mmoja alikuja hapa kutoa ushuhuda kuwa aliambiwa asifanye hadi siku ya harusi akakubali. Ndoa ilipofungwa njemba inashauku kulimenya tunda. Mtume! Hakuna cha bikira wala nini bali alikuta bonge la tatoo ya uume wa mtu kwenye kinena ndo kesha apa kwa ba mchunga.

Wanawake si wa kuamini, utaingizwa mjini japo ukimpata bikra ni vema
 
Kuna kautepe kangu nakasubiria kasije soma huu uzi nikanyimwa mautam!

Sasa wewe Mandingo ukifungua njia, kweli barabara itakuwa salama. Vyema vibamia vitake place

 
Last edited by a moderator:
Loohh!!!! umepanic

Unadhani nimepanic nakukumbusha tu tabia ya huyo mchumba si njema!tena ukiachana na umbea wake hana busara!hivi kweli katika kizazi hiki bikra zilivyo adimu anaweza riski penzi lake kiasi hicho?tena hajakutana na wanaume mabazazi ingebaki stori!..ss ushauri wa bure piga chini huyo mchumba chukua mgodi huo na wewe uingie kwenye idadi ya mashujaa wachache wa kizazi hiki
 
Unadhani nimepanic nakukumbusha tu tabia ya huyo mchumba si njema!tena ukiachana na umbea wake hana busara!hivi kweli katika kizazi hiki bikra zilivyo adimu anaweza riski penzi lake kiasi hicho?tena hajakutana na wanaume mabazazi ingebaki stori!..ss ushauri wa bure piga chini huyo mchumba chukua mgodi huo na wewe uingie kwenye idadi ya mashujaa wachache wa kizazi hiki

Loohh! Ngoja niimbe kidogo kipande cha huu wimbo.

Fungua njia mtoto kaanza tamba

 
Loohh! Ngoja niimbe kidogo kipande cha huu wimbo.

Fungua njia mtoto kaanza tamba


Mkuu tatizo la viutepe ukiwa unavikata mwanzo yAani ni shida maana akiona dudu lenye jicho moja tu yaani full vibration walio katwa wanalijua hili miss chagga una experience nahili?
 
Last edited by a moderator:
Na wewe ndugu yangu bwana Mandingo angalia usije uziwa mbuzi kwenye kiroba!jamuhuri ya watu wa China on work
Mkuu azalea siwezi uziwa kesi ya babu seya timing zangu zime kwenda shule...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom