Tatizo liko wapi kumuoa msichana aliye Bikra?

Tatizo liko wapi kumuoa msichana aliye Bikra?

Wanaume wengine HAWAJIELEWI...mwambie ur friend akitulize MAYBE anaweza opoa mume wa maana
 
hakuna cha bikira lazima ujue matatizo ya unaemuoa hayo mambo yamepitwa na wakati hata mm mtu akiniambia bikra kwanza tumalizane nione bikra na nijue madhaifu yake nikija kumuoa nakua nimeingia kiroho safi ....sasa we kaoe bikra then nenda nae ukute ana matatizo chungu tele ndo utaiona ndoa chungu na ndo mana cku hizi watu wanapiga mimba kabisa ndo waoe mambo ya kuoana then kushinda makanisani au msikitini au kwa sangoma kutafuta mtoto yanapoteza mda...mawazo yangu toa bikra mwenyewe kaa nae msome tabia yake na madhaifu yake huku na yeye akikusoma then malizaneni hayo mambo ya kuoa bikra mmh labda na wewe uwe bikra wote mkutane hamjui kitu

mungu amekataza zinaa mdau,hujui hilo?UJANA NUSU YA UWENDAWAZIMU
 
Bora bikra maana password unaingiza mwenyewe na unakuwa na full access.
Ila hizi accounts za kuhack zina matatizo sana,hakawii mwenye password kurudia kuperuzi kwenye kurasa zake za mwanzo.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Mwanaume bikra naye anapatikana siku hizi kweli??Kama jibu ni sio,siwezi kujitunza eti kulinda heshima,waweza jidai wajitunza na ukaolewa then maumivu ya moyo yakawa pale pale,So please mimi siwezi kwa kweli,bora nijizoelee mapemaa

kwani unamtunzia mtu mwingine au ni ustaarabu wako tu kwamba kitu hiki na hiki mimi/wewe hufanyi kwa sababu si sahihi kutokana na tamaduni za jamii au mazingira yaliyokuzunguka.
 
Shida yao wanakuwa hawana uzoefu wowote kunako sita kwa sita.Rafiki yangu mmoja aliwahi kuoa bikra alipata shida kubwa sana alianza kufundisha kila kitu.
 
Tatizo litakalojitokeza ni kwamba siku akijiwa na wazo la kubadilisha ladha hapo ndo mwanzo wa ndoa yenu kuwa mashakani coz akionjeshwa vinginevyo na alivyozoea kwako atataka tena na tena tena kutoka wanaume tofauti tofauti
 
Wanaume wengine HAWAJIELEWI...mwambie ur friend akitulize MAYBE anaweza opoa mume wa maana

Kuna uhusuano wa moja kwa moj katika hilo ulilolisema?
Nina wasiwasi!!!!
 
Mwanaume bikra naye anapatikana siku hizi kweli??Kama jibu ni sio,siwezi kujitunza eti kulinda heshima,waweza jidai wajitunza na ukaolewa then maumivu ya moyo yakawa pale pale,So please mimi siwezi kwa kweli,bora nijizoelee mapemaa

Nilikuwa bikra miezi michache ilopita, bahati nzuri/mbaya akatokea mrembo mmoja, sikuweza kujizuia...I'm no longer a virgin..lol
 
Kwa iyo mtu anaoa hiyo bikira au? Ndoa ni zaidi ya bikira
sasa kama umempata huyo bikra kwanini usioe, mi naona kama mwanamke kavishinda vishawishi vya kudinyana basi huyo anafaa sana tena ni mvumilivu ukizingatia dunia hii imejaa ulaghai.
 
Back
Top Bottom