Asante sana,hasa kwa kuwataka ndugu na jamaa kuwa waungwana,maana wengine wanaacha kujibu nilicho uliza wanaweka maneno yao binafsi,nitayafanyia kazi maneno yako,ubarikiwe sana
Jitahidi uwe unaota ndoto kwa kidhungu, ukifikia hatua hiyo kitazama chenyewe kwenye ubongo wako fasta!, Watu wengi tunajifanya tunajua kiingereza lakini usiku tunaota ndoto kwa lugha ya kiswahili!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.