Tatizo la Window Ku sleep na Kutoamka tena!

Ryzen

JF-Expert Member
Dec 6, 2012
7,305
8,655
Waheshimiwa nisaidieni PC yangu DELL LATITUDE E6230 ilikuwa inarun fresh windows ten sasa baadae katika kufanya mautundu flani ikaja ikazingua yaani ishu kama vile haikuwaka tena ikawa inadai no bootable device detected basi nikaamua kuweka windows 10 pro!

Hapo ndipo tatizo lilipoanzia maana baada ya hapo ikawa nzito katika kuwaka na ikiwaka ishu ikaja kwenye kusleep yaani ikisleep haiezi ku wake up tenaa yaani ile cursor inastack maanake uzime tena kwa buton ndo uiwashe tena!

Nikaona isiwe kesi wacha nieke windows 7 ambayo pc zina run fresh tu sasaa Nashangaa nimeeka hio windows seven bado tatizo lipo pale pale ase!

Wadau nakaribia kukata tamaa kuhusu Hii Mashine yangu embu nisaidieni asee

cc: Chief Mkwawa
 
Dell sio laptop mkuu, siku nyengine usirudie kununa laptop ya kijinga hio...hio itakuwa ram moja imeloga!

Dell wazuri kwenye madesktop tu maana yanatengenezeka kirahisi.
 
ni bug ya windows kipindi inatoka, seems umedownload windows 10 ya zamani, update iende latest build tatizo litaisha.
 
ni bug ya windows kipindi inatoka, seems umedownload windows 10 ya zamani, update iende latest build tatizo litaisha.
chief tatizo lilianza siku moja nlipoenda kwenye config.ms kama sikosei sasa kuna jamaa akaniambia huenda ni config error
 
Back
Top Bottom