Mwamba umeenda mbali unaonekana ishu za upinde zipo kichwani sana hii ishu naongea serious ni kitu kinachonitokea kweli Sasa habari za upinde zinatoka wapi hapa..Au sio kjn anajiuza humu
Mkuu wapi nimesema upinde mm nimejibu kutoka katika reply ya rafiki yangu tena kwa utani tu, sikumaanisha hivyoMwamba umeenda mbali unaonekana ishu za upinde zipo kichwani sana hii ishu naongea serious ni kitu kinachonitokea kweli Sasa habari za upinde zinatoka wapi hapa..
Hiyo hapo mkuuTuma picha kwanza tuone tatizo lipo wapi maana huku Tandale unaweza ukapishana na mama mkwe na msionane tulivyovurugwa na life.
Hiyo hapo mkuuView attachment 2647313
Sasa kwa hiyo Avatar yakoNiende kwenye mda wakuu binafsi kuna mambo yananichanganya
Tangu nimefikisha umri wa miaka 34 nilinotice kitu huwa natizamwa sana na watu wazima mpaka vibibi kwa ujumla wamama watu wazma kwa upande wa wanaume sio sana yani naweza kuwa natembea njiani gafla utakuta kuna mmama ananiangalia yani nikama kuna kitu natembea nacho kiko usoni kwenye paji la uso mpaka naogopa.
Sio Mara moja nakuta natazamwa sana binafsi niko kawaida navaa ki gentleman sina mambo mengi, hapo umri huyo sina mke.
Mahusiano yangu huwa yanakufa mapema sana kila nikianzisha nilishaleta uzi hapa ila hili la kutizamwa ningekuwa maalufu sawa lkn mi lofa tu inakuwaje natizamwa non stop utafikiri kuna marudio ya USM Alger na young Africans?
MhhhNiende kwenye mda wakuu binafsi kuna mambo yananichanganya
Tangu nimefikisha umri wa miaka 34 nilinotice kitu huwa natizamwa sana na watu wazima mpaka vibibi kwa ujumla wamama watu wazma kwa upande wa wanaume sio sana yani naweza kuwa natembea njiani gafla utakuta kuna mmama ananiangalia yani nikama kuna kitu natembea nacho kiko usoni kwenye paji la uso mpaka naogopa.
Sio Mara moja nakuta natazamwa sana binafsi niko kawaida navaa ki gentleman sina mambo mengi, hapo umri huyo sina mke.
Mahusiano yangu huwa yanakufa mapema sana kila nikianzisha nilishaleta uzi hapa ila hili la kutizamwa ningekuwa maalufu sawa lkn mi lofa tu inakuwaje natizamwa non stop utafikiri kuna marudio ya USM Alger na young Africans?
Umefufuka vileHiyo hapo mkuuView attachment 2647313
Dah… watu wa alphabets mna shidaNiende kwenye mda wakuu binafsi kuna mambo yananichanganya
Tangu nimefikisha umri wa miaka 34 nilinotice kitu huwa natizamwa sana na watu wazima mpaka vibibi kwa ujumla wamama watu wazma kwa upande wa wanaume sio sana yani naweza kuwa natembea njiani gafla utakuta kuna mmama ananiangalia yani nikama kuna kitu natembea nacho kiko usoni kwenye paji la uso mpaka naogopa.
Sio Mara moja nakuta natazamwa sana binafsi niko kawaida navaa ki gentleman sina mambo mengi, hapo umri huyo sina mke.
Mahusiano yangu huwa yanakufa mapema sana kila nikianzisha nilishaleta uzi hapa ila hili la kutizamwa ningekuwa maalufu sawa lkn mi lofa tu inakuwaje natizamwa non stop utafikiri kuna marudio ya USM Alger na young Africans?
Mkuu afadhali we umetoa mfano wa kueleweka mi hapo ni vise vesa yaani mi utakuta utakuta MTU amekodolea macho straightforward ni kama anataka kuniuliza au anashangaa kitu kwangu mbaka najishtukia ili kuua soo huwa namsalimia Mimi sijajua kwanini kuna baadhi humu wamenitafsiri tofauti...Mimi nasalimiwa sana nikiwa popote pale tangu nipo dogo kabisa nipp hivyo,utakuta unaenda sehemu watu hawakujui huwajui wanakusalimia kwa bashasha kabisa unaweza kudhani mnajuana!..
Hata nikitembea barabaran mpita njia mwenzangu ntakayekutana nae ni lazima anianze yeye salamu tena kwa bashasha kabisa kama washkaji kumbe hata kuonana hamjawahi
Alphabet ndio nn funguka mkuuDah… watu wa alphabets mna shida
Very simple kujua, kuiona mtu anakukazia macho muulize kwanini. Ukiuliza watatu wanne utajua sababuMkuu yani unaangaliwa kama MTU flani kama unajambo LA hatari unaweza Fanya
Demi Umemuelewa huyu kweli?😀😆Niende kwenye mda wakuu binafsi kuna mambo yananichanganya
Tangu nimefikisha umri wa miaka 34 nilinotice kitu huwa natizamwa sana na watu wazima mpaka vibibi kwa ujumla wamama watu wazma kwa upande wa wanaume sio sana yani naweza kuwa natembea njiani gafla utakuta kuna mmama ananiangalia yani nikama kuna kitu natembea nacho kiko usoni kwenye paji la uso mpaka naogopa.
Sio Mara moja nakuta natazamwa sana binafsi niko kawaida navaa ki gentleman sina mambo mengi, hapo umri huyo sina mke.
Mahusiano yangu huwa yanakufa mapema sana kila nikianzisha nilishaleta uzi hapa ila hili la kutizamwa ningekuwa maalufu sawa lkn mi lofa tu inakuwaje natizamwa non stop utafikiri kuna marudio ya USM Alger na young Africans?
Hiyo hapo dadaanguEbu tupia kapicha na sisi tukutazame mkuu
Niende kwenye mda wakuu binafsi kuna mambo yananichanganya
Tangu nimefikisha umri wa miaka 34 nilinotice kitu huwa natizamwa sana na watu wazima mpaka vibibi kwa ujumla wamama watu wazma kwa upande wa wanaume sio sana yani naweza kuwa natembea njiani gafla utakuta kuna mmama ananiangalia yani nikama kuna kitu natembea nacho kiko usoni kwenye paji la uso mpaka naogopa.
Sio Mara moja nakuta natazamwa sana binafsi niko kawaida navaa ki gentleman sina mambo mengi, hapo umri huyo sina mke.
Mahusiano yangu huwa yanakufa mapema sana kila nikianzisha nilishaleta uzi hapa ila hili la kutizamwa ningekuwa maalufu sawa lkn mi lofa tu inakuwaje natizamwa non stop utafikiri kuna marudio ya USM Alger na young Africans?