Tatizo la ulevi Rombo: Wanawake wakodi wanaume kutoka Kenya kufanya nao ngono

Wakuu niunganishieni namimi hiyo dili,mie nipo bongo tu hapa, nasukuma mpini kama makonde ya JONI SINA
 
Wanaume wa Rombo mjitafakari katika hili.
 

Attachments

  • 1432037241043.jpg
    1432037241043.jpg
    84.6 KB · Views: 428
  • 1432037274080.jpg
    1432037274080.jpg
    114.9 KB · Views: 406
Ngoja sisi tutangulie mtatukuta tumeanza kazi.
Kwa wasionifahamu mimi ndiyo huyo anayeonekana juu ya paa.
 
Bali nakushauri unapotaja wachaga zingatia maeneo na aina ya wachaga. HAWA victim ni WAROMBO.unaposema wachaga wote unakosea. Mchaga WA uru marangu,au kilema umeskia nini kutokakwao

cc. Asprin
[/QUOTE]

Acha kujitetea mchaga ni mchaga tu!
 
Last edited by a moderator:
Ulevi rombo ni janga la kitaifa, kuna pombe za kila sampuli, banana ndo usiseme, kuna vipombe vya kienyeji vya mia mbili mbili na mia tatu vina majina kibao, sidhani kama hata tbs wanavijua.
Nilikuwa naangalia kwenye ripoti maalumu ITV wanatengeneza wenyewe hata TBS hawajui nini ?rombo ulevi kwao ni kama ajira wanasema ajira hamna sasa kama mtu hana nguvu hata kumpa mke wake haki ya ndoa nguvu ya kufanya atapata wapi wapi?
 
Saa 12 asubuhi watu washalewa, eti wanadai wanazimua ile waliyokunywa usiku, ujinga kweli huo.
Wameshakuwa watumwa wa pombe nguvu zote zimeishia kwenye pombe kesho naenda kikazi huko ntawaletea mrejesho.
 
Wakuu niunganishieni namimi hiyo dili,mie nipo bongo tu hapa, nasukuma mpini kama makonde ya JONI SINA

Panda gari nenda ulianzia tarakea ufika hapo waambie wewe ni mgeni unatafuta mke watakuja kama wanaenda kwenye mkutano.
 
Baadhi ya wanawake wa Rombo inadaiwa wanakodi wanaume kutoka Kenya ili kufanya nao ngono kutokana na tabia za ulevi za wanaume wao kuzidiwa ulevi na kushindwa kufanya tendo la ndoa. View attachment 252883

Hiyo habari imetiwa chumvi. Niliwahi kufanya kazi Rombo na japo swala la ulevi ni la kweli kwa wanaume lakini wanawake wa Rombo wanafanya sana kazi ngumu na swala la mapenzi halina kipaumbele kwao kiasi cha kuagiza wanaume kutoka Kenya. Mji wa Tarakea ulio mpakani una mchanganyiko wa watu mbalimbali wakiwemo wakenya wanaokuja kwa ajili ya biashara. Kwa hali hiyo machangudoo wapo vilevile. Sikatai pengine kwa hao wanaume wachache walioathirika na pombe baadhi ya wake zao watageukia marafiki za waume zao na si kutafuta Kenya.
 
Back
Top Bottom