Tatizo la tumbo kuuma kwa kubana na kuachia kwa mwanamke

The Eric

JF-Expert Member
Feb 23, 2019
5,059
8,177
Habari waungwana na poleni kwa majukumu,

Nina mwanamke wangu ambaye alimaliza kujifungua na huu ni mwezi wa tano kwenda wa sita anatatizo la kuumwa tumbo kwa kubanwa chini ya kifua na vile vile hapati hamu ya kula.

Ni kama misuli ya tumbo inauma na kuachia.

Ninaombeni ufumbuzi kwa anayefahamu.

Kama ni tumbo kuhusu uzazi au ni vinginevyo.
 
Hiyo ni Gesi.

Watu wa Aina hiyo mara nyingi wanatatizo la mmeng'enyo wa chakula.
Atakuwa na moja ya dalili hizi;
1. Anaweza kaa siku moja au mbili bila kwenda chooni. Ilhali anakula Milo mitatu.
Jambo ambalo sio kawaida kiafya. Mtu anayekula Milo mitatu anatakiwa Kwa Siku Anye walau mara moja au mara mbili.

2. Akinya anakunya Choo kigumu
Na kuna Wakati anahisi kunya lakini akifika chooni anakunya hewa.

3. Tumbo kujaa Gesi ni Hii humfanya ahisi tumbo kubana kisha Gesi inapotoka iwe Kwa kujamba au tumbo kunguruma inaachia.

4. Anabawasiri, kinyama kinachoota Kwenye Njia ya haja kubwa.


Matibabu
✔️ Aende Hospitalini haraka kucheki afya.
✔️ Kama Hana Pesa Wakati huu anaweza Kutumia vyakula vinavyoondoa Gesi tumboni na kulainisha Choo.
Aanze Kwa kununua maembe yaliyoiva ale kila jioni hiyo itafungua Choo Asubuhi tuu ataripotu chooni
Atumie Mbogamboga (namaanisha mboga za majani)

Hata vidonda vya tumbo huanza Kwa tumbo kujaa Gesi ikiwa kama sehemu ya dalili
 
Habari waungwana na poleni kwa majukumu,

Nina mwanamke wangu ambaye alimaliza kujifungua na huu ni mwezi wa tano kwenda wa sita anatatizo la kuumwa tumbo kwa kubanwa chini ya kifua na vile vile hapati hamu ya kula.

Ni kama misuli ya tumbo inauma na kuachia.

Ninaombeni ufumbuzi kwa anayefahamu.

Kama ni tumbo kuhusu uzazi au ni vinginevyo.

Tumbo la Uzazi linaumia Chini karibu na kiuno.
Kama ni mjamzito itampasa atumie zaidi spinachi au mchicha
 
Back
Top Bottom