The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 5,059
- 8,177
Habari waungwana na poleni kwa majukumu,
Nina mwanamke wangu ambaye alimaliza kujifungua na huu ni mwezi wa tano kwenda wa sita anatatizo la kuumwa tumbo kwa kubanwa chini ya kifua na vile vile hapati hamu ya kula.
Ni kama misuli ya tumbo inauma na kuachia.
Ninaombeni ufumbuzi kwa anayefahamu.
Kama ni tumbo kuhusu uzazi au ni vinginevyo.
Nina mwanamke wangu ambaye alimaliza kujifungua na huu ni mwezi wa tano kwenda wa sita anatatizo la kuumwa tumbo kwa kubanwa chini ya kifua na vile vile hapati hamu ya kula.
Ni kama misuli ya tumbo inauma na kuachia.
Ninaombeni ufumbuzi kwa anayefahamu.
Kama ni tumbo kuhusu uzazi au ni vinginevyo.