Jiwe kuu01
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 228
- 86
Wakuu habari zenu,
Naiman mu wazima wa Afya.
Wakuu Nina simu yangu Samsung Galaxy S7 edge ina tatizo kubwa linalo ninyima raha
Wakuu simu yangu haikai na charge yan nikicharge nikifungua data hayapiti masaa manne charge yote inaisha nimejaribu kubadili betry lakin tatzo liko vile vile
Wakuu nimefikiria kui root simu yangu je Niki i root Hili tatizo la kutokaa na charge litakwisha?? Wakuu naombeni msaada wenu TAFADHARI
Naiman mu wazima wa Afya.
Wakuu Nina simu yangu Samsung Galaxy S7 edge ina tatizo kubwa linalo ninyima raha
Wakuu simu yangu haikai na charge yan nikicharge nikifungua data hayapiti masaa manne charge yote inaisha nimejaribu kubadili betry lakin tatzo liko vile vile
Wakuu nimefikiria kui root simu yangu je Niki i root Hili tatizo la kutokaa na charge litakwisha?? Wakuu naombeni msaada wenu TAFADHARI