Nyamwage
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 634
- 1,535
Hamjambo wakubwa nilikua natoka zangu pemba kikazi kuja Dar home nikashuka Unguja kama saa saba mchana ikabidi nikatembee Pela unguja ili nivute muda ifike saa kumi nipande boti nije Dar nikakutana na maduka yanauza simu za Samsung na iPhone.
Lakini muuzaji aliniambia kua zile simu ni used lakini nilivutiwa nazo hatimae nikanunua Samsung Galaxy s7edge kwa shilingi 280,000 simu naiona iko vizuri sana chaji inajitaidi kukaa lakini kuna jamaa yangu hapa naona ananipa tumbo joto kua nijiandae kulia baadae kua hizi simu used huwa zinazingua.
Hebu wataalam wa masuala haya ya simu niwekeni wazi hizi simu hua zina majanga gani huko mbeleni japo kuwa nilishainunua tayali ili nijiandae kisaikolojia na yajayo.
Lakini muuzaji aliniambia kua zile simu ni used lakini nilivutiwa nazo hatimae nikanunua Samsung Galaxy s7edge kwa shilingi 280,000 simu naiona iko vizuri sana chaji inajitaidi kukaa lakini kuna jamaa yangu hapa naona ananipa tumbo joto kua nijiandae kulia baadae kua hizi simu used huwa zinazingua.
Hebu wataalam wa masuala haya ya simu niwekeni wazi hizi simu hua zina majanga gani huko mbeleni japo kuwa nilishainunua tayali ili nijiandae kisaikolojia na yajayo.