Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,881
- 7,029
- Thread starter
- #21
Asante kwa ushauri mkuu nitazingatiaKamua ndimu tatu kwenye glass yenye maji, kunywa asubuhi kabla hujala chochote na jioni baada ya kula, jizoeshe kutafuna tangawizi mara kwa mara au kitunguu swaumu japo punje tatu.
Kiufupi magonjwa yote husababishwa na mucus ambao hutokea baada ya mwili kujaa toxin mbalimbali.
Fanya detoxification either kwa kufunga au kureplace chakula kwa matunda au kuruka milo (intermittent fasting) ikiambatana na hivyo viungo dawa japo juu.
Wiki mbili nyingi