Tatizo la MUCUS kooni

Tatizo la MUCUS kooni

Smart Guy

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2016
Posts
6,880
Reaction score
7,023
Wakuu habari ...

Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la mucus kwenye koo linalopelekea nitoe makohozi yenye harufu mbaya sana na kinywa kunuka sana.

Nimekwenda hospitali nikabainika tatizo la post nasal drip... Nikapewa dawa na kushauriwa kutumia mouth wash.

Lakini bado tatizo liko pale pale.

Naombeni msaada tafadhalini hili tatizo linaninyima amani.

Dawa gani nitumie niondokane na hili hali?
 
Wakuu habari ...

Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la mucus kwenye koo linalopelekea nitoe makohozi yenye harufu mbaya sana na kinywa kunuka sana.

Nimekwenda hospitali nikabainika tatizo la post nasal drip... Nikapewa dawa na kushauriwa kutumia mouth wash.

Lakini bado tatizo liko pale pale.

Naombeni msaada tafadhalini hili tatizo linaninyima amani.

Dawa gani nitumie niondokane na hili hali?
Umeenda hospital gani kupima,?
 
Hauna tabia ya kunyonya sehemu za siri za wanawake, maana hii tabia imechangia sana watu kupata magonjwa ya kinywa miaka hii halafu mkienda hospital hamsemi kila kitu unasema tu umepata hali fulani ila hausemi tabia zako.


Kimsingi hiyo mucus ni bodily fluid ambayo hubehave kama trap ya kuzuia bacteria wabaya wasishuke zaidi mwilini kuelekea tumboni.

Hapo ni kama ulimbo kwahiyo bakteria watabakia katika huo ute then ukikohoa au kubanja utatema na ndio namna immunity system ya mwili wako inafanya kazi kukulinda.

Shukrani ziendee tonsils hapo kooni maana ndizo hutoa taarifa ya uwepo wa bacteria eneo la kinyani.

Kuna uwezekano umevuta hewa chafu eneo fulani hali ambayo imetengeneza uwepo wa bacteria eneo la kooni au unaweza kuwa umefanya oral sex au umekutana na kinywa cha mtu anayefanya oral sex maana siku hizi vijana mnajifanya mafundi mnapigana deki hadi njia ya haja kubwa matokeo yale mnachota bakteria hatari sana ambao hata hawakutarajia kuuona mdomo ila umewakaribisha.

Tema hayo makohozi tafuta maabara yapeleke wakayatazame yanabakteria gani. Peleka maabara hata tatu tofauti wakupe majibu ya sampuli ya hayo makohozi (mucus) yametrap bacteria gani hapo koromeloni.

Nenda chap ili ujue. Usisahau kutuletea mrejesho hapa.
 
Hauna tabia ya kunyonya sehemu za siri za wanawake, maana hii tabia imechangia sana watu kupata magonjwa ya kinywa miaka hii halafu mkienda hospital hamsemi kila kitu unasema tu umepata hali fulani ila hausemi tabia zako.


Kimsingi hiyo mucus ni bodily fluid ambayo hubehave kama trap ya kuzuia bacteria wabaya wasishuke zaidi mwilini kuelekea tumboni.

Hapo ni kama ulimbo kwahiyo bakteria watabakia katika huo ute then ukikohoa au kubanja utatema na ndio namna immunity system ya mwili wako inafanya kazi kukulinda.

Shukrani ziendee tonsils hapo kooni maana ndizo hutoa taarifa ya uwepo wa bacteria eneo la kinyani.

Kuna uwezekano umevuta hewa chafu eneo fulani hali ambayo imetengeneza uwepo wa bacteria eneo la kooni au unaweza kuwa umefanya oral sex au umekutana na kinywa cha mtu anayefanya oral sex maana siku hizi vijana mnajifanya mafundi mnapigana deki hadi njia ya haja kubwa matokeo yale mnachota bakteria hatari sana ambao hata hawakutarajia kuuona mdomo ila umewakaribisha.

Tema hayo makohozi tafuta maabara yapeleke wakayatazame yanabakteria gani. Peleka maabara hata tatu tofauti wakupe majibu ya sampuli ya hayo makohozi (mucus) yametrap bacteria gani hapo koromeloni.

Nenda chap ili ujue. Usisahau kutuletea mrejesho hapa.
Asante mkuu kwa ushauri
 
Wakuu habari ...

Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la mucus kwenye koo linalopelekea nitoe makohozi yenye harufu mbaya sana na kinywa kunuka sana.

Nimekwenda hospitali nikabainika tatizo la post nasal drip... Nikapewa dawa na kushauriwa kutumia mouth wash.

Lakini bado tatizo liko pale pale.

Naombeni msaada tafadhalini hili tatizo linaninyima amani.

Dawa gani nitumie niondokane na hili hali?

Habari!

Bado kunakuwa na mahitaji zaidi ya historia na ukaguzi ili kujua hitimisho.

Post nasa drip inaweza kuwa sababu ya msingi ya tatizo lako.
Ingawa ni muhimu pia kujua:
1: Umekuwa na shida kwa muda gani?
2: Rangi ya mafua vs makohozi ikoje?

Hii ni kwa sababu kuna sababu nyingine zinazoweza kuambatana/kusababisha hilo mfano:
1: Allergy
2: Virusi
3: Sinasitisi/Sinusitis
4: GERD

NB: Yote hapo juu yaweza kuwa complicated/kuambatana na maambukizi ya bacteria pia, ambayo mara nyingi husababisha harufu mbaya.

Hivyo, historia nzuri pamoja na dalili mwambata na ukaguzi wa koo na sinus vyaweza kusaidia sana.
 
Habari!

Bado kunakuwa na mahitaji zaidi ya historia na ukaguzi ili kujua hitimisho.

Post nasa drip inaweza kuwa sababu ya msingi ya tatizo lako.
Ingawa ni muhimu pia kujua:
1: Umekuwa na shida kwa muda gani?
2: Rangi ya mafua vs makohozi ikoje?

Hii ni kwa sababu kuna sababu nyingine zinazoweza kuambatana/kusababisha hilo mfano:
1: Allergy
2: Virusi
3: Sinasitisi/Sinusitis
4: GERD

NB: Yote hapo juu yaweza kuwa complicated/kuambatana na maambukizi ya bacteria pia, ambayo mara nyingi husababisha harufu mbaya.

Hivyo, historia nzuri pamoja na dalili mwambata na ukaguzi wa koo na sinus vyaweza kusaidia sana.

Habari!

Bado kunakuwa na mahitaji zaidi ya historia na ukaguzi ili kujua hitimisho.

Post nasa drip inaweza kuwa sababu ya msingi ya tatizo lako.
Ingawa ni muhimu pia kujua:
1: Umekuwa na shida kwa muda gani?
2: Rangi ya mafua vs makohozi ikoje?

Hii ni kwa sababu kuna sababu nyingine zinazoweza kuambatana/kusababisha hilo mfano:
1: Allergy
2: Virusi
3: Sinasitisi/Sinusitis
4: GERD

NB: Yote hapo juu yaweza kuwa complicated/kuambatana na maambukizi ya bacteria pia, ambayo mara nyingi husababisha harufu mbaya.

Hivyo, historia nzuri pamoja na dalili mwambata na ukaguzi wa koo na sinus vyaweza kusaidia sana.

Asante sana mkuu

Labda nijibu maswali yako...



Swali la (1)

Nimekuwa na tatizo takribani miaka mi tano sasa.

Swali la (2)

Makohozi yana rangi ya njano muda mwingine meupe yenye chembe chembe ya vijiwe vidogo sana
 
Asante sana mkuu

Labda nijibu maswali yako...



Swali la (1)

Nimekuwa na tatizo takribani miaka mi tano sasa.

Swali la (2)

Makohozi yana rangi ya njano muda mwingine meupe yenye chembe chembe ya vijiwe vidogo sana

1: Ukiinama kama unaokota kitu chini, unasikia nini kwenye kichwa hasa upande wa mbele?

2: Unapata shida yoyote ya balance, mfano: ukinyanyuka ili utembee?

3: Huwa unajisikia wepesi wowote wa mwili?

4: Huwa kuna wakati unapata kichwa kuuma?
 
Pole sana, mkuu hata mimi na hali hiyo ingawa sio sana, ila niliambiwa kwasababu ya tatizo la GERD
 
1: Ukiinama kama unaokota kitu chini, unasikia nini kwenye kichwa hasa upande wa mbele?

2: Unapata shida yoyote ya balance, mfano: ukinyanyuka ili utembee?

3: Huwa unajisikia wepesi wowote wa mwili?

4: Huwa kuna wakati unapata kichwa kuuma?

1) naskia kichwa kinavuta kuja mbele

2)ndiyo kuna muda nahisi kupepesuka

3)hapana

4)ndiyo
 
Kamua ndimu tatu kwenye glass yenye maji, kunywa asubuhi kabla hujala chochote na jioni baada ya kula, jizoeshe kutafuna tangawizi mara kwa mara au kitunguu swaumu japo punje tatu.
Kiufupi magonjwa yote husababishwa na mucus ambao hutokea baada ya mwili kujaa toxin mbalimbali.
Fanya detoxification either kwa kufunga au kureplace chakula kwa matunda au kuruka milo (intermittent fasting) ikiambatana na hivyo viungo dawa japo juu.
Wiki mbili nyingi
 
Wakuu habari ...

Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la mucus kwenye koo linalopelekea nitoe makohozi yenye harufu mbaya sana na kinywa kunuka sana.

Nimekwenda hospitali nikabainika tatizo la post nasal drip... Nikapewa dawa na kushauriwa kutumia mouth wash.

Lakini bado tatizo liko pale pale.

Naombeni msaada tafadhalini hili tatizo linaninyima amani.

Dawa gani nitumie niondokane na hili hali?
Tafuna tangawizi na kitunguu swaum Kila siku asubuh na jioni , iyo Hali itaisha mkuu , ukihisi unawashwa sana unapozea na asali mkuu ,tatizo litaisha

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom