Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Kiukweli japo wanasema uzuri uko machoni mwa mtazamaji, lakini to some extent tunaweza kukubaliana kuwa msichana fulani ni mzuri sana, mzuri kiasi au wa kawaida.
Sasa tatizo unakutana na msichana wa kawaida ila you can tell by the look kuwa huyo msichana anajiona mzuuuri kupita kiasi. And you cleary see that it has sank onto her head kwamba yeye ni mzuri.
Je 'tatizo' hili linatokana na nini? Je ni kioo ndicho kinamdangaya? Je ni wanaume wanaomtongoza ndio wanamdanganya at yeye ni mzuuuri, au ni marafiki zake ndio wanamdanganya hivyo au?
Tatizo la msichana kujiona mzuri kupita kiasi limedisable potential za wasichana wengine. They think kuwa kila kitu kinaweza kuwa chao kwa kupewa unfair priviledge, na wengi wao hawapendi kutumia nguvu kujishughulisha ili kujipatia kipato halali...
Sasa tatizo unakutana na msichana wa kawaida ila you can tell by the look kuwa huyo msichana anajiona mzuuuri kupita kiasi. And you cleary see that it has sank onto her head kwamba yeye ni mzuri.
Je 'tatizo' hili linatokana na nini? Je ni kioo ndicho kinamdangaya? Je ni wanaume wanaomtongoza ndio wanamdanganya at yeye ni mzuuuri, au ni marafiki zake ndio wanamdanganya hivyo au?
Tatizo la msichana kujiona mzuri kupita kiasi limedisable potential za wasichana wengine. They think kuwa kila kitu kinaweza kuwa chao kwa kupewa unfair priviledge, na wengi wao hawapendi kutumia nguvu kujishughulisha ili kujipatia kipato halali...