Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,947
- 122,219
Dah hongera mkuu japo kumbe hauqualify kwenye group letu la wahenga
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my TECNO-Y6 using Tapatalk
Dah hongera mkuu japo kumbe hauqualify kwenye group letu la wahenga
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile solution ukipaka inauma balaaaaaaaMkuu hiyo hali inaitwa kipumbu ilitusumbua sana wakati tunasoma shule moja boarding (anonymous) teacher wa Chemistry msela2 alituma chemical moja nimeisahu tukajipaka.
Sababu kubwa ni mabafu yetu huku uswazi. Cha kufanya tumia sabuni ya dettol ile ya 2500 au 3000 mana hiza za 1000 nyingi zimechakachuliwa...
Jina ungeljua ingekua goodDawa nzuri ya fungus ni vidonge ila jina nimelisahau. Vipo kama paracetamol hivi, maduka ya madawa kimoja kinauzwa shilingi 300 na dozi nzima ni shilingi 6000 unatumia kwa siku ishirini.
Kiunon hapo ndugZa kiunoni, za miguuni, za kwapani, za mwilini, za mdomoni, za kwenye damu au wapi ndugu?
Umejuaje kama ugonjwa ulio nao ni fungus? Wakati mwingine unaweza ukawa unaumwa ugonjwa wa zinaa tu. Vipimo kwanza ndo upewe dawa.Zipo kweny pumbu nmemez vle vdong vya buku buk cku 4 cjapon nmepat ya kupakaa wapi
Fangas ndug ugonjwa wa znaa hapn cz inakujag na kujirudia ila ya sahz imekaa sana kuhs znaa na mwez wa 3 huu cmji mwanamkeUmejuaje kama ugonjwa ulio nao ni fungus? Wakati mwingine unaweza ukawa unaumwa ugonjwa wa zinaa tu. Vipimo kwanza ndo upewe dawa.
Saw ndugTumia fungfen itakusaidia,, ni Ya kupaka
Nenda duka la dawa waeleze tu zinafanana na paracetamol. Watazijua, si mkariri sana wa majina ya dawaJina ungeljua ingekua good
PamojaNenda duka la dawa waeleze tu zinafanana na paracetamol. Watazijua, si mkariri sana wa majina ya dawa
Tumia hjzo dose nzima, utakuja kunipa mrejeshoPamoja
SawTumia hjzo dose nzima, utakuja kunipa mrejesho
Ukipona zingatia usafi wa chupi uwe unavaa chupi Safi .Chupi chafu husababisha fangasi kwenye pumbu pia uwe unanyoa mavuzi ,huzalisha jasho linalosababisha fangasi . Zingatia usafi wa Hilo dude lako lililo katikati ya mapajaZipo kweny pumbu nmemez vle vdong vya buku buk cku 4 cjapon nmepat ya kupakaa wapi
Mbona hay magonjwa kla mt yanamkuta uctake kunambia wte walio ugua ukimw walikua wa asherati sana, wanaume weng wameelimika now wachaf ni wachache sanUkipona zingatia usafi wa chupi uwe unavaa chupi Safi .Chupi chafu husababisha fangasi kwenye pumbu pia uwe unanyoa mavuzi ,huzalisha jasho linalosababisha fangasi . Zingatia usafi wa Hilo dude lako lililo katikati ya mapaja
Kupata fangasi huko chini inaonyesha weed Ni mchafu wa kuanzia Chupi Hadi mavuzi
Za miguuni?Habari wana jamaa wa jamii forums et samahan dawa ya fangasi sugu ni nini