sanga misuka
Member
- Aug 24, 2017
- 38
- 42
Habari great minds,
Nina tatizo la fangasi sugu sehemu za siri kwa miaka zaidi ya 4, huwa linanisumbua miwasho japo kuna muda linapungua na kupotea.
Nimeshatumia kila aina ya dawa zikiwemo za kupaka na kumeza, na kufuata maelekezo yote lakini tatizo bado lipo.
Kwa mikoa niliyokuwa naishi Mwanza tatizo lilikuwa la kuja kwa muda na kupungua hadi kupotea kwa mda kutokana na msimu.
Lakini kwa sasa nipo Dar tatizo limekuwa kubwa sana hadi kuleta michubuko ya ngozi sehemu za siri hii kutokana na joto kali,
Naombeni kwa aliyewahi kupatwa na fangasi sugu na akapona kwa dawa zingine tofauti na za kumeza na kupata za hospitalini maana nimeenda hospitali nyingi zikiwemo za binafsi.
Naomba anisaidie niweze kupona maana kuna muda inanipa shida hadi kutembea.
Nashukuru sana.
Nina tatizo la fangasi sugu sehemu za siri kwa miaka zaidi ya 4, huwa linanisumbua miwasho japo kuna muda linapungua na kupotea.
Nimeshatumia kila aina ya dawa zikiwemo za kupaka na kumeza, na kufuata maelekezo yote lakini tatizo bado lipo.
Kwa mikoa niliyokuwa naishi Mwanza tatizo lilikuwa la kuja kwa muda na kupungua hadi kupotea kwa mda kutokana na msimu.
Lakini kwa sasa nipo Dar tatizo limekuwa kubwa sana hadi kuleta michubuko ya ngozi sehemu za siri hii kutokana na joto kali,
Naombeni kwa aliyewahi kupatwa na fangasi sugu na akapona kwa dawa zingine tofauti na za kumeza na kupata za hospitalini maana nimeenda hospitali nyingi zikiwemo za binafsi.
Naomba anisaidie niweze kupona maana kuna muda inanipa shida hadi kutembea.
Nashukuru sana.