Emmanuel Bernald
Member
- May 8, 2018
- 15
- 14
Za siriZa miguuni?
Za ngozini?
Za kwenye sehemu za siri?
Za kichwani?
Za mdomoni?
Jr
Za siriZa miguuni?
Za ngozini?
Za kwenye sehemu za siri?
Za kichwani?
Za mdomoni?
Jr
Shave na disposable razors kama bic na gilleteZa siri
Hebu elezea kwa kina zaidi ukizingatia haya;Habari wana jamaa wa jamii forums et samahan dawa ya fangasi sugu ni nini
Why oral itraconazole mkuu na sio antifungal topical preparations!?Itraconazole 100mg od for 1 month
GriseofulvinDawa nzuri ya fungus ni vidonge ila jina nimelisahau. Vipo kama paracetamol hivi, maduka ya madawa kimoja kinauzwa shilingi 300 na dozi nzima ni shilingi 6000 unatumia kwa siku ishirini.
Shida ya zinaa inaweza ikakaa hata zaidi ya miezi 6 ndo ijitokeze!Fangas ndug ugonjwa wa znaa hapn cz inakujag na kujirudia ila ya sahz imekaa sana kuhs znaa na mwez wa 3 huu cmji mwanamke
Kuna moja ya kupaka jina nimelisahau inauzwa buku tano... tiba mbadara chukua mafuta ya alzeti yaishachemsha yakapoa. Paka kwa wingi hapo yani yatafonzwa halafu baada ya muda utaona gamba linabanduka na kutoka. Ila kachome sindano maana itarudi tena au inawezekana nguo zako za ndani unazianika kwenye sehemu isiyo na mwanga, au unavaa nguo ya ndani zaidi ya siku moja, au pia unazivaa zikiwa hazijakauka vizuri.Zipo kweny pumbu nmemez vle vdong vya buku buk cku 4 cjapon nmepat ya kupakaa wapi
Mimi nakushauri kama unaona kwenda kwa dr ni ngumu basi nenda kwenye duka linaloaminika na umuulizie mtaalam. Haya mambo ya kwenda maduka ya uchochoroni ni hatari na binadamu siku hizi wamegeuka wanyama linapokuja suala la pesa. BTW usafi wako ukoje? Kutumia dawa bila kuwa msafi ni bure. . Unaoga mara kwa mara? . Fungus za kwenye makende zinahitaji usafi sana. Ukioga unajikasha na kuhakikisha huna majimaji kabla ya kuvaa? Unabadilisha na kuvaa underwear safi kila siku? Mashuka, nguo na nyumba yako ni safi? Jasho nalo linachangia sana fungus hasa sehemu za siri. Usivae nguo nzito na nyingi.Pamoja
Haitamsaidia sbb inaonekana ameshatumia dawa tofauti hazijamsaidia!Tumia hiyoView attachment 1464221
Atumie pakti mbili yaani akimaliza ya kwanza ataona kama amepona anunue nyingine aendelee kupaka.!Haitamsaidia sbb inaonekana ameshatumia dawa tofauti hazijamsaidia!
Hii inasadia km tatizo halijawa sugu
Sent using Jamii Forums mobile app
yeye ni mtumishi wa bwana,hayo mambo ya mahusiano sijui mapenzi huwa hajihusishi nayo kwanza ni dhambi kufanya hivyo,kwa hiyo jikite zaidi kwenye fangasi ile ya kawaidaUmejuaje kama ugonjwa ulio nao ni fungus? Wakati mwingine unaweza ukawa unaumwa ugonjwa wa zinaa tu. Vipimo kwanza ndo upewe dawa.
sawa ila punguza maneno makali,huyo ni kijana mwenzetu alafu bado hajapona,anahitaji maneno laini laini.Ukipona zingatia usafi wa chupi uwe unavaa chupi Safi .Chupi chafu husababisha fangasi kwenye pumbu pia uwe unanyoa mavuzi ,huzalisha jasho linalosababisha fangasi . Zingatia usafi wa Hilo dude lako lililo katikati ya mapaja
Kupata fangasi huko chini inaonyesha weed Ni mchafu wa kuanzia Chupi Hadi mavuzi
Unatibu fangasi siku nne boss duuuh huyo daktari alokuandikia kampige mabanziHabari wana jamaa wa JF et samahani dawa ya fangasi sugu ni nini. Zipo kwenye pumbu, nimemeza vile vidonge vya buku buku siku 4 sijapona, nimepata ya kupakaa wapi!
Grisufluvin, asufluvinDawa nzuri ya fungus ni vidonge ila jina nimelisahau. Vipo kama paracetamol hivi, maduka ya madawa kimoja kinauzwa shilingi 300 na dozi nzima ni shilingi 6000 unatumia kwa siku ishirini.
Sio kila fungy hutibiwa na hii dawaTumia hiyoView attachment 1464221
Kwangu ndiyo naona dawa bora zaidiGrisufluvin, asufluvin