TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,977
- 15,317
Una aleji na maji
Okay, wakuu kicha cha uzi hapo juu kinahusika.
Iko hivi, nina changamoto ya kuwasha wote kila baada kwenda kukoga.
Sasa hali hii imekua ikinisumbua kwa muda sasa, hivyo naombeni ushauri wenu kama kuna mtu ambae ameshawahi kupitia changamoto kama hii ninayopitia mimi.
Ili niweze kuiepuka maana imekuwa kero sasa.
Uzi tayari