Dinnah
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 791
- 1,058
aisee nilijua nipo peke yangu kwa hili tatizo yani mwenzenu najikuna miguu na mapajani mpaka nakuwa mwekundu kila nikioga maji ya bomba na ya mvua
nikiwa dar na moshi siwashwi hata maji ya bahari siwashwi nimejaribu ya kisima siwashwi ila tofauti kuna baadhi ya kisima kingine yananiwasha mpaka sina raha ya kuoga natamani hata kulia ikifika muda wa kuoga
na hali hii inazidi asubuhi kukiwa na ubaridi ukijaribu kuoga mchana hauwashwi sana
huwa nameza prednisolone kidonge 1 nikitoka tu kuoga japo ukitoka kuoga ukinywa maji yanaongezea kuwashwa ukikanyaga mchanga ndo kabisa au ukijifutia nguo mbichi
Sent using Jamii Forums mobile app
nikiwa dar na moshi siwashwi hata maji ya bahari siwashwi nimejaribu ya kisima siwashwi ila tofauti kuna baadhi ya kisima kingine yananiwasha mpaka sina raha ya kuoga natamani hata kulia ikifika muda wa kuoga
na hali hii inazidi asubuhi kukiwa na ubaridi ukijaribu kuoga mchana hauwashwi sana
huwa nameza prednisolone kidonge 1 nikitoka tu kuoga japo ukitoka kuoga ukinywa maji yanaongezea kuwashwa ukikanyaga mchanga ndo kabisa au ukijifutia nguo mbichi
Sent using Jamii Forums mobile app