Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,138
- 27,089
Mimi nikiiona tu papuchi huwa namwaga hapo hapo
Mimi nikiiona tu papuchi huwa namwaga hapo hapo
Duh...unawatania..Mimi nikiiona tu papuchi huwa namwaga hapo hapo
duh wewe wenge lako limezidi aisee.Mimi nikiiona tu papuchi huwa namwaga hapo hapo
Mkuu pole sana jichunguze ulaji wavyakula unavyo kula je unakula vyakual vyenye afya ?Je unavuta sigara?unakunyw apombe? unajishughulisha na kazi gani kila siku? umeowa? una mawazo yoyot eyale? unatumia kilevi chochote kile? jibu maswali yangu Dawa ipo ya kuweza kurudisha nguvu zako za kiume.
wanaume wengi wanakula chips na mayai ya kisasa, yani akikaa hapo kifuani unamuonea huruma.jaman kulen chakula mshibe ndio show ifanyike kwa ustadi,wengi hawali chakula chakutosha mnahis labda ni tatito la nguvu za kiume,kumbe hukupata chakula😂
Tafuta hela wewee na uhakikishe unalipa madeni ya watu hizo ndo dawa za nguvu za kiume
Nyingi huwa ni tamu sana unajikuta sekunde tu usha mwaga sio ww tu kunawakati inatokea mm nishaingia na demu geto mashine haikusimama kabisa akili inataka mashine haisimami dem kuondoka tu mashine ikasimama kupiga nyeto kweli inafanya kazi kuita dem sikunyingine fresh tuWakuu habari zenu,
Mimi ni kijana wa miaka 28. Kuna hali imenitokea mpaka nashindwa kujielewa kabisa. Nimekuwa napata wakati mgumu sana wakati wa kushiriki tendo na mwenzangu. Mwanzo nilikuwa naenda dakika 7-10 kwa round ya kwanza no nimwage. Na nilikuwa nachukua dakika 30-40 kwa round ya pili. Na kwa round ya tatu ilibidi nichukue mpaka lisaa ndo nimwage.
Sasa hapa katikati nashangaa mambo yamebadilika sana ,yaani nachukua dakika moja tu nishamwaga wazungu! na hapo itanibidi nisubiri mpaka lisaa kwa kurudi tena mchezoni. Wakati mwanzo ilikuwa inanichukua dakika 5 tu na kuendelea kwa round nyingine. N a nikirudi tena dakika mbili nyingi nishamwaga.
Ninaomba msaada kwa hili tatizo kwani nimefanya sana mazoezi na kubadilisa diet ila bado ninasumbuka na hili tatizo.
Wapi nitapata specialist wa hili tatizo?
Asanteni sana.
Aseeeh usithubutu ndo unaenda kumaliza kabisa !! Mbona simple kula mayai ya kienyeji kwa kuyachemsha , tafuna mbegu za maboga !! Kila siku kunywa tangawizi na karangaHabari wana jamii naomba kujuzwa dawa ambayo inasaidia kuboresha mbegu za kuime. Ya hospital au hata kienyeji.