Nashangaa PULI inavyosingiziwa....wakati CHAPUTA hata corona ilipita mbali.......na 90% ya wanachama ndoano zao zimechangamka vema....huu utafiti ntaupinga sana.....🤣🤣🤣Chaputa hatujambo kujitetea
Hili tatizo sasaMimi nikiiona tu K huwa namwaga hapohapo!
Mkuu kuna wahuni wanaenda adi 8 per day..🤣Nashangaa PULI inavyosingiziwa....wakati CHAPUTA hata corona ilipita mbali.......na 90% ya wanachama ndoano zao zimechangamka vema....huu utafiti ntaupinga sana.....
Nakubaliana na wewe KABISA.👍Mkuu kuna wahuni wanaenda adi 8 per day..🤣
Hilo ni tatizo la hormoneNimegundua kila mtu ana shida zake
Mimi naweza kukaa hata lisaa kifuani bila kukojoa hadi demu anasema inatosha amechoka
Juzijuzi ndo nimebahatika kukojoa mapema km dk ya 30 hivi
Hii nayo shida nini ?
Mkuu sifanyi punyeto.Acha punyeto
Mkuu nina kazi yenye kipato cha kati. Sipigi puchu.Una kazi ?
Una madeni ?
Unapiga puchu ?
Kama jibu ni "none of the above" , huna shida , tatizo Ni psychology tu !!! Jiamini , acha wenge , mwandae mwenzako vzr !
Sex Ni hisia, fanya Hilo tendo na mtu unaempenda
Basi jiamini tu mkuuMkuu sifanyi punyeto.