Fundifundisho
Member
- Jan 11, 2011
- 77
- 18
Wadau nina rafiki yangu anasumbuliwa na vipele matakoni,
vipele hivi huwa vinavimba viwili au kimoja juu ya ****,huwa kinauma ingawa huwa hakitungi usaha. huwa vinadum kwa mda mfupi kisha vinanyauka,
hospital walisema ni mchafuko wa dam wakampa dawa lakn baadae tatizo linaludi.
vipele hivi huwa vinavimba viwili au kimoja juu ya ****,huwa kinauma ingawa huwa hakitungi usaha. huwa vinadum kwa mda mfupi kisha vinanyauka,
hospital walisema ni mchafuko wa dam wakampa dawa lakn baadae tatizo linaludi.