Tatizo la kutokwa na damu kwenye fizi: Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

Nenda kwa daktari wa meno wakasafishe meno na pi akuelekeze njia nzuri za kusafisha meno.

Hilo tatizo si kwamba hupigi mswaki, unapiga sema ni kwamba kuna vyakula vingine vinabaki huwa haviwezi kuondoka kwa kupiga mswaki tu lazima ufanye flossing.

Kwa sasa ningekushauri usukutue kwa kutumia maji ya vugu vugu ya chumvi ( hili kupunguza uvimbe kwenye fizi)na pia sukutua kwa kutumia hydrogen peroxide kila baada kupigwa mswaki hili kuzuia infection.

Kila lakheri, nenda haraka sana kwa daktari wa meno
 
Habari wana Jf,mimi ninatatizo la ktokwa na Damu kwenye fizi mdomoni hasa wakati ninapokua napiga mswaka.Hata wakati mwingine nikishika tama afu nikatema mate ,yanakua na damu.Fizi huwa haliashi.

Kwa mwenye kufahamu dawa ya kumaliza au kupunguza hali hiyo naomba anifahamishe.Aksante.:nerd:

Easy bleeding from the gum especially on doing tooth brushing is the earliest sign of the disease of the gum, (a healthy gum is not supposed to bleed ) if it is gingivitis ( inflamation of gingiva/gum) the it can be improved by proper oral hygiene practice especially proper brushing techniques but if the disease is in advanced form, periodontitis (gum is affected including the supporting structure of the tooth- characterised by easy bleeding of gum, gums are swollen, reddish and painful, gingival recession and tooth mobility in a more advanced stage) the its management involves proffessional cleaning of teeth, Oral health education and oral hygiene instructions

ADVISE:

visit a dental doctor he will examine you and tell what is your problem and problem will be attended to, because if the problem is periodontitis and you delay visiting a dentist the progression of the disease will continue and teeth will start become loose and you might ending up loosing your teeth, infact Periodontitis is the most common cause of teeth loss in adult than dental caries
 
ugonjwa wa fizi ni complex sana,usichukue kimzaha,kupiga mswaki waweza kuwa unafanya hivyo in wrong way or technigue is wrong with wrong tooth brush hata kama utafanya mara kumi kwa siku bila maelekezo ya kilaalamu utaambulia meno mwisho wake kulegea na kuanguka.ugaga unatolewa na dentist na sio kupiga mswaki ,hatujui umri wako with many factor in short visit dental clinic:shetani:
 
Habari wakuu! naomba kujua ni kwanini fizi zangu huwa zinatoa damu pasipo kuguswa au kuumizwa ni kitu chochote? watu tunashindwa kula hata mate kwa ajili ya mafizi haya haya!! msaada wakuu nifanyeje?????
 
Pole mkuu . Kutoka damu kwenye fizi mara nyingi huwa ni kwasababu ya kutosafisha meno na mdomo kila baada ya kula ,kitendo kinachofanya mabaki ya chakula kukusanyika kwenye meno na kusababisha bacteria kula na kuzaliana kwa haraka na kuongezeka kwa kasi kwa kukusanyika na kutengeneza plaque ,inayo haribu tissue za fizi na kusababisha damu kutoka kwenye fizi na pia fizi kuwa nyekundu sometime fizi zinaweza vimba dawa ni kusafisha meno kwa kila baada ya mlo kwa kutumia dawa ya meno,profession cleaning hydrogen peroxide 6% (unde local anaesthesia) metrandazole 400mg hii mpaka umuone Dactari. baada ya masaa 8 kwa siku tano lakini inabidi ukaonane na Dactari wa meno hospitali na uzingatia usafi hilo tatizo linaweza kuwa ni gingivitis usifanye uzembe nenda hosp
 
Niliipata hiyo hali nakazembea kumuona Dr. kidogo meno yaanguke wahi kuona doctor
 
Scurvy. Ni matatizo ya vit c. Yawezekana wewe huli matunda yenye hiyo vit. Au labda umeuguwa maradhi makali kama Typhoid au Malaria kwa hiyo mwiwlw wako umepoteza uwezo wa kui process hiyo ili itumike. Hii huwa temp.

Nenda Pharmacy na ununuwe hizo vitamin c suppliants. Lakini anza utamaduni wa kula matunda kama machungwa, mananasi au kunywa juice zake hata juice ya passion fruit inafaa. GOOD LUCK.
 
Pole mkuu . Kutoka damu kwenye fizi mara nyingi huwa ni kwasababu ya kutosafisha meno na mdomo kila baada ya kula ,kitendo kinachofanya mabaki ya chakula kukusanyika kwenye meno na kusababisha bacteria kula na kuzaliana kwa haraka na kuongezeka kwa kasi kwa kukusanyika na kutengeneza plaque ,inayo haribu tissue za fizi na kusababisha damu kutoka kwenye fizi na pia fizi kuwa nyekundu sometime fizi zinaweza vimba dawa ni kusafisha meno kwa kila baada ya mlo kwa kutumia dawa ya meno,profession cleaning hydrogen peroxide 6% (unde local anaesthesia) metrandazole 400mg hii mpaka umuone Dactari. baada ya masaa 8 kwa siku tano lakini inabidi ukaonane na Dactari wa meno hospitali na uzingatia usafi hilo tatizo linaweza kuwa ni gingivitis usifanye uzembe nenda hosp

Ahsante mkuu
 
Wadau nimekuwa na tatizo la kutokwa na damu kwenye fizi (gum bleeding) kwa muda yapata miez mitatu sasa...
Je? Tatizo tajwa linasababishwa na nini?
Nini dawa yake..

Okoa jahaz wakuu nategemea maoni yenu.
 
Ni vizuri ukaenda kwa daktari. kwa kuanzia anaweza akafanya kipimo cha uwingi wa chembe chembe za damu kama hemoglobin, chembe chembe nyeupe, platelets na lymphocytes na pia anaweza fanya vipimo vya ugandaji wa damu kama itatakiwa (PT, PTT na INR). Yamkini ukawa na tatizo dogo la gingivitis au pia waweza kuwa na tatizo kubwa lihusulo upungufu au ubora wa utengenezaji platelets katika mfupa. Fanya haraka umuone daktari.
 
Bleeding gums







Bleeding gums can be a sign that you are at risk for, or already have, gum disease. However, persistent gum bleeding may be due to serious medical conditions such as leukemia and bleeding and platelet disorders.

Considerations

It is important to follow the instructions from your dentist in order to maintain healthy gums. Improper brushing and flossing technique may actually irritate or traumatize the gum tissue.
Causes

Bleeding gums are mainly due to inadequate plaque removal from the teeth at the gum line. This will lead to a condition called gingivitis, or inflamed gums.
If plaque is not removed through regular brushing and dental appointments, it will harden into what is known as tartar. Ultimately, this will lead to increased bleeding and a more advanced form of gum and jawbone disease known as periodontitis.
Other causes of bleeding gums include:

Home Care

Visit the dentist at least once every 6 months for plaque removal. Follow your dentist's home care instructions.
You should brush your teeth gently with a soft-bristle toothbrush after every meal. The dentist may recommend rinsing with salt water or hydrogen peroxide and water. Avoid using commercial, alcohol-containing mouthwashes, which aggravate the problem.
Flossing teeth twice a day can prevent plaque from building up. Avoiding snacking between meals and reducing carbohydrates can also help. Follow a balanced, healthy diet.
Other tips:

  • Avoid the use of tobacco, which aggravates bleeding gums.
  • Control gum bleeding by applying pressure directly on the gums with a gauze pad soaked in ice water.
  • If you have been diagnosed with a vitamin deficiency, take recommended vitamin supplements.
  • Avoid aspirin unless your health care provider has recommended that you take it.
  • If side effects of medication are irritating, ask your doctor to recommend another medication. Never change your medication without consulting your doctor.
  • Use an oral irrigation device on the low setting to massage the gums.
  • See your dentist if your dentures do not fit correctly or if they are causing sore spots in your gums.
When to Contact a Medical Professional

Consult your health care provider if:

  • The bleeding is severe or long term (chronic)
  • Your gums continue to bleed even after treatment
  • You have other unexplained symptoms with the bleeding
What to Expect at Your Office Visit

Your dentist will examine your teeth and gums, and ask questions such as:

  • Are the gums bleeding a large amount?
  • Did the bleeding begin recently?
  • Do the gums bleed frequently or only occasionally?
  • Have you had gum problems before?
  • How often do you brush?
  • How often do you floss?
  • Do you use a soft- or hard-bristle toothbrush?
  • How vigorously do you brush?
  • What other home care aids do you use (toothpicks or other)?
  • When was the last time you had your teeth cleaned at the dentist?
  • Have you changed your diet?
  • Do you eat adequate amounts of fruits and vegetables?
  • Do you take supplemental vitamins?
  • Do you have a high carbohydrate diet (pasta)?
  • What medications do you take? Do you take seizures medicines, blood thinners (such as Coumadin, heparin), or aspirin?
  • Are you pregnant?
  • Have you changed mouthwash or toothpaste recently?
  • What other symptoms do you have? (for example, sore throat)
Diagnostic tests that may be performed include:


 
Meno ya watu wazima

Meno yako yapaswa kukaa siku zote za maisha au uhai wako, lakini lazima uyatunze vizuri. Watu wazima wanapaswa kutunza meno yao ilivyo kwa watoto. Utuzi bora wa afya ya meno ni dalili ya afya bora kwa jumla.
Matatizo ya meno, mdomo au kinywa mara nyingi huw ndizo ishara za matatizo mengine katika sehemu nyinginezo za mwili. Magonjwa kama vile ‘Osteoporosis' (Ugonjwa wa kupoteza mifupa na bone density) ugonjwa wa moyo na ugonjwa wa kisukari mara nyingi huanza kama ugonjwa wa meno.

Hapa pana dalili au ishara unazoweza kuwa nazo ukiwa na matatizo ya meno:

  • Ufizi unaotoa damu
  • Harufu mbaya inayodumu
  • Ladha mbaya daima, mdomoni mwako
  • Mdomo uliokauku, inayosababishwa na matibabu

Tekeleza yafuatayo ukiwa na matatizo ya meno;


  • Mwone daktari wa meno mara moja au mbili kwa mwaka
  • Kunywa maji mengi; glasi 4 – 8 kwa siku hata kama hauhisi kiu
  • Kunywa vinywaji vidogo vilivyo baridi
  • Sugua meno mara kwa mara
  • Zingatia unayokula – ulaji wa vyakula visivyobora husababisha kuwa na meno na fizi isiyo na afya

Jifunze kuhusu kutunza meno yako ili yawe na afya:


  • Dawa ya meno iliyo na floraidi na maji siyo ya watoto tu. Husaidia kila mtu kupunguza uwezo wa kuwa na pengo
  • Sugua meno mara kwa mara hasa baada ya kula vyakula
  • Kula peremende kidogo na vyakula vya sukari kwa kiasi kidogo
  • Usisahau kutoa vyakula kwenye meno kwa kutumia uzi spesheli
  • Kula vyakula halisi mara kadhaa kwa siku
  • Epukana na tumbaku na tumia vileo kwa kiasi kidogo

@
Saint IvugaMatibabu Fanya hivi :-

Ni kweli huenda ana upungufu wa vitamin c mimi huwa inanitokea kutokwa na Damu kwenye mafizi ya mdomo haswa ninapopiga mswaki asubuhi ninatumia dawa inayoitwa (Supradyn) (Vitamin, Mineral and Blood Builders »Multivitamin, multimineral ) inanisaidia sana nikipiga mswaki sitoki tena na Damu kwenye mafizi. Jaribu kutumia hiyo Dawa una ukosefu wa vitamini mwilini na pia uwe unakula sana Machungwa na juice ya limau kurudisha Vitamin C kwa haraka.

Au tumia dawa hii
Kuna dawa inaitwa Chlorhexamed, ni nzuri sana. kuna Mtu alikuwa na matatizo kama hayo akaenda kwa dentist akamuandikia dawa hiyo. akaitumia mara mbili tu tatizo limeisha. iko kwenye tube ndogo kama zile za dawa za macho, na una massage ufizi kwa kutumia mswaki. Jaribu kisha unipe feedback
 
Kula carrot pia zinasaidia sana kutibu magonjwa ya meno hata moyo. Kimsingi hali kama hii ikiendelea mwisho wake ni kujikuta una ugonjwa wa moyo. Kwa wale wanaosumbuliwa na shinikizo la damu ni simpo kunywa sana ili achali au mbilimbi iuzwayo uswahilini kwenye chupa.
 
Mzizi Mkavu na wengine you guys are the best. Ahsanteni sana na nafanyia kaz mliyonishauri/elekeza hapo juu.

Ma2nda napiga sana lakini mambo hujirudia tena na tena ni muda sasa nimwone daktari kwa vipimo zaid.
 
Back
Top Bottom