Kalimanzira
Senior Member
- Aug 15, 2007
- 100
- 27
Wana JF na walimu wenzangu,
Nimekuwa nikiwaza na kusikitishwa sana na kasi ya wanafunzi wetu kumaliza Elimu ya Msingi bila kujua kusoma na hata kuandika. Na sasa Serikali imeanzisha mfumo wa kuwatahini mara ya pili wanafunzi walio maliza S/Msingi ili kujua uwezo wao wa KUSOMA. Na ukifuatilia kwa makini wanafunzi hata wa Vyuo Vikuu, usomaji wao ni wa mashaka sana. Je Nini kifanyike? Tusaidiane
Nimekuwa nikiwaza na kusikitishwa sana na kasi ya wanafunzi wetu kumaliza Elimu ya Msingi bila kujua kusoma na hata kuandika. Na sasa Serikali imeanzisha mfumo wa kuwatahini mara ya pili wanafunzi walio maliza S/Msingi ili kujua uwezo wao wa KUSOMA. Na ukifuatilia kwa makini wanafunzi hata wa Vyuo Vikuu, usomaji wao ni wa mashaka sana. Je Nini kifanyike? Tusaidiane