Tatizo la kuomba vyuo NACTE, shida ni nini hasa?

Tatizo la kuomba vyuo NACTE, shida ni nini hasa?

Pax Vobiscum

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
455
Reaction score
765
Habari wana-Jf
Naomba kufahamu hili tatizo Ni Mimi tu muhanga au Wenzangu pia?

Kuna mtu nataka kumfanyia "application" Nacte amemaliza kidato Cha nne mwakajana Sasa kila nikiingia Nacte napata ugumu Sana jinsi ya ku apply,

Wametoa guidebook vizuri shida IPO kwenye how to apply, ukingia apply online mtandao una-load na kufeli


Naomba msaada wenu wakuu Kama Kuna mtu amefanikiwa, anisaidie kafanikiwaje!!
Asanteni Sana,
 
Jaribu kuingia katika tovuti ya chuo husika mfano chuo kama RUCU nime apply mda mchache uliopita kuoitia tovuti yao
 
Jaribu kuingia katika tovuti ya chuo husika mfano chuo kama RUCU nime apply mda mchache uliopita kuoitia tovuti yao
Mkuu shida ni hivi vyuo vya afya vya serikali vingi sana havina tofauti rasmi ya kuombea mfano vyuo kama amo,mbeya health collage au singida ni ngumu
 
Jaribu kusoma vizuri taratibu za application
Vyuo vya afya wanaomba kwa mfumo wa panel
 
Back
Top Bottom